Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Watoe tamko rasmi sasa ili na waio vyuoni wajipange jinsi ya kutembea na bahasha
Kweli aisee maana ni shidahWatwambie tu bhana tumechoka kitaa kigumu.
Watwambie tu bhana tumechoka kitaa kigumu.
Watwambie tu bhana tumechoka kitaa kigumu.
Wanakuchosha mtaan ili kikfka kpind unapangwa interior uwe na moyo wa dhat kwend
Hapo hakuna atakayebaki ktk vyuo vya private coz mwenye GPA ndogo huwa ana 3.5.
Lakin mkuu kuna naibu waziri wa kilimo alisema wazi wakati wa mahojiano siku ya tar. 31 asbhi katika television ya Star
Sisi sote hatujui chochote kwani wizara husika haijatamka chochote kwenye uwanja wake. Hizo ronja za radiokurutu tu. tusubiri taarifa kutoka uraiani si unajua hapa ni sawa na makuruti wanaokuwa na shauku ya kurejea makwao toka depo? kwa hiyo mabunio huwa mengi kuliko taarifa.
its rumance meeeeeeen! deal with facts