Omwami Nshomile
Senior Member
- Jan 26, 2015
- 132
- 28
Habari walimu wenzangu?
Me ni miongoni mwa waaanga wa janga hili la ajira za mwaka huu. Kutokana na sintofahamu inayojitokeza, kesho asubuhi nitaenda kupata maelezo ya kina katika Jengo la TAMISEMI Dodoma. Ninaishi manyoni, hivyo nategemea kufika saa 4 nitakua nimefika. Naomba kuungwa mkono na walimu wenzangu mlioko maeneo ya karibu na Dodoma hili tuweze kupata ufafanuzi wa kina.
.
.
Hakuna dhambi mbaya kama uoga.
Me ni miongoni mwa waaanga wa janga hili la ajira za mwaka huu. Kutokana na sintofahamu inayojitokeza, kesho asubuhi nitaenda kupata maelezo ya kina katika Jengo la TAMISEMI Dodoma. Ninaishi manyoni, hivyo nategemea kufika saa 4 nitakua nimefika. Naomba kuungwa mkono na walimu wenzangu mlioko maeneo ya karibu na Dodoma hili tuweze kupata ufafanuzi wa kina.
.
.
Hakuna dhambi mbaya kama uoga.