CHUNDABADI
Member
- Oct 5, 2012
- 49
- 7
. Ww cjui unayejiita handsome hv habar za ualimu na mamovie yako wap na wap ny ndio mnatudhalilisha waalimu tafadhali ucje huku kwa njaa zako,watoto wanahitaj kusoma mwalim n mwandish,msom,role model na cio mwigizaji shame on uSasa wewe mpiga movie na elimu wapi na wapi ndo maana unaongea mambo usio na uhakika nayo, kaa kimya, jana ume2keshesha hakuna lolote
Sasa wewe mpiga movie na elimu wapi na wapi ndo maana unaongea mambo usio na uhakika nayo, kaa kimya, jana ume2keshesha hakuna lolote
. Ww cjui unayejiita handsome hv habar za ualimu na mamovie yako wap na wap ny ndio mnatudhalilisha waalimu tafadhali ucje huku kwa njaa zako,watoto wanahitaj kusoma mwalim n mwandish,msom,role model na cio mwigizaji shame on u
. Ww cjui unayejiita handsome hv habar za ualimu na mamovie yako wap na wap ny ndio mnatudhalilisha waalimu tafadhali ucje huku kwa njaa zako,watoto wanahitaj kusoma mwalim n mwandish,msom,role model na cio mwigizaji shame on u
kuweni na subira jamani,ajira zitatoka tu.
Mimi0nashinda net muda wote kuangalia HII WEB NAITAZAMA KILA SAA,ZIKITOKA TU NAZIDAKA HEWANI KISHA NAZIWEKA KWENYE HII WALL,TEMBELEA HAPA MARA KWA MARA
dogo nina mashaka na wewe bila shaka wanaku.........!
Mimi0nashinda net muda wote kuangalia HII WEB NAITAZAMA KILA SAA,ZIKITOKA TU NAZIDAKA HEWANI KISHA NAZIWEKA KWENYE HII WALL,TEMBELEA HAPA MARA KWA MARA
acha hizo dogo tafuta part-time upige kazi wewe ajira itakukuta huko huko,huwajui magamba ee!
Hivi kukaa kimya unashindwa! Mbona unaweweseka?
anataka ajiandae kugoma baada ya kupata hela ya kujikim na uhakika wa kuingia payroll
bhanaa hz post mwaka huu ztachelewa unajua fungu kubwa linaishia kwenye katiba mpya
Sasa wewe mpiga movie na elimu wapi na wapi ndo maana unaongea mambo usio na uhakika nayo, kaa kimya, jana ume2keshesha hakuna lolote
bora umpe ukwel wake. Chaku2wekea link za fb inahuu???
Nataka niwaajiri KAHAMA MOVIES naona mnahangaikia ajira.