Ajira za Ualimu zinatoka lini?

Mnyakyegi

Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
81
Reaction score
21
Ajira za ualimu waliohitimu 2014 zinatoka lini? Kitaa kigumu kweli hasa wenye bachelor za ualimu sababu hakuna tempo bora hao wa chet na Diploma walioenda kupoteza Muda JKT.
 
kugumu sana ila ajira hadi tarehe 26/03/2015
 
Ajira zitatolewa mwaka 2015/april' kwa walimu wa science, mathematics na kwa upande wa arts wataajiriwa walimu wa somo la lugha la kiingereza tu(english language subject) kwa masomo mengne ya arts walimu waliopo sasa wanatosha'
 
Ajira zitatolewa mwaka 2015/april' kwa walimu wa science, mathematics na kwa upande wa arts wataajiriwa walimu wa somo la lugha la kiingereza tu(english language subject) kwa masomo mengne ya arts walimu waliopo sasa wanatosha'



Una uhakika acha kuwapa uwoga hao watarajali
 
Ajira za ualimu waliohitimu 2014 zinatoka lini? Kitaa kigumu kweli hasa wenye bachelor za ualimu sababu hakuna tempo bora hao wa chet na Diploma walioenda kupoteza Muda JKT.

ajira za ualimu bado sana, nafikiri mpk tumalize kula pasaka
 
Hapo ni kusababisha wahitimu wa kike kuwa michepuko ya watu
 
Endlea kusubri pia jithdi ufungue ata kagenge ka machungwa ili kupata ata viela vya kujihudumia utakpoajiriwa huk ukisubri jina lako lingie payroll
 
jamani mbona mapema sana!mtaajiriwa nyote lakini muda bado hadi march 2015. muwe wavumilivu jamani ndugu japo kitaa pakavu kweli.
 
Ajira zitatolewa mwaka 2015/april' kwa walimu wa science, mathematics na kwa upande wa arts wataajiriwa walimu wa somo la lugha la kiingereza tu(english language subject) kwa masomo mengne ya arts walimu waliopo sasa wanatosha'

kaka unatutishaa
 
Endlea kusubri pia jithdi ufungue ata kagenge ka machungwa ili kupata ata viela vya kujihudumia utakpoajiriwa huk ukisubri jina lako lingie payroll

ahsante kwa ushauri kaka
 
Ajira za ualimu waliohitimu 2014 zinatoka lini? Kitaa kigumu kweli hasa wenye bachelor za ualimu sababu hakuna tempo bora hao wa chet na Diploma walioenda kupoteza Muda JKT.



Hata vikao vya kupanga bado kufanyika kwakua serikali haina fedha then mwakani kuna mambo makubwa mawili yaani uchaguzi Wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu hivyo huu mchakato utachelewa sana
 
Hata vikao vya kupanga bado kufanyika kwakua serikali haina fedha then mwakani kuna mambo makubwa mawili yaani uchaguzi Wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu hivyo huu mchakato utachelewa sana

ukizingatia kuwa pesa zingine zimepotea kwenye bunge maalum la katiba
 
Primary ziko nying mtaani na walimu wanahtajika nendeni muombe kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…