inakupasa uandike barua ya maombi ya kupangiwa kituo cha kazi ..
uainishe academic qualifications n particulars...
ILA SIJUI SIKU HIZI HII BARUA INAENDA KWA katibu mkuu TAMISEMI AU WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI.... hebu jaribu kuulizia.. maana wizara ya elimu ndio hupangia watu vituo ila ukisharipoti unakiwa chini ya tamisemi