Sasa hivi kuna vijana wengi sana ni VEO/WEO.Na shahada yako wakupe 390K utawezana?
Kwanza now days hawachukui astashahada( cheti) wanachukua level 5 ambayo ni diploma 1.
Kama una wito na kuwa VEO/ MEO chukua vyeti vyako vya secondary ukasome., ganda lako la bachelor weka kabatini.
Yeye mmoja kashindwa kujiongoza anabaki kulalama tu! Akiongezewa malalamiko ya wananchi?Basi wewe jiongoze wewe uwe tajiri wa mfano kuliko kusubiri ukaongoze kijiji kitajirike.
Nani kakudanganya kuwa mwenye astahahada sio msomi? Nani kakudanganya mwenye shahada ndio msomi?Kwa hiyo kuongoza wanakijiji elfu tano ni kazi ndogo siyo? Kitovu cha kwanza cha maendeleo hapa nchini ni vijiji au mitaa. Ni maajabu sana kuweka mtu mwenye cheti, ambaye hana hata uwezo wa kutafsiri sheria mbalimbali za nchi, kuongoza watu elfu tano. Ndiyo maana vijiji vingi vimedumaa kwa umasikini.
Mkuu nakibalia na wewe. Enzi za Mwalimu tuliona wenye digrii (BA) wakiajiriwa mameja wa Vijiji. Leo wapo wengi wenye digrii hizo kwa nini wasijiriwe? Kama tumekubaliana miradi ya maendeleo iibuliwe kuanzia Vijijini, maana wao (wanakijiji ndio wanaojua vipaumbele vya miradi yao) kwa nini tusiwajiri vijana hawa? Au utaratibu huu haupo tena?Nimefuatilia sana posti za ajira za utendaji wa mtaa au vijiji sijawahi kuona wakiunganisha kigezo cha shahada kwenye sifa za kazi hiyo na nyingine 50 zimetangazwa wilaya ya Ilemela wanahitaji astashahada tu
Naona kusoma sana sasa hakuna maana Tanzania enzi za mwl Nyerere alithamini sana wasomi hata kipindi cha Rais JK ila kwasasa ni kupoteza muda na kufanya kila msomi kuwa mwanasiasa.
Naitazama thamani ya elimu tzUna shahada halafu unalilia utendaji wa kijiji?
Msomi ni mwenye shahada na kuendeleaNani kakudanganya kuwa mwenye astahahada sio msomi? Nani kakudanganya mwenye shahada ndio msomi?
Tunaangalia kupewa kipaumbele elimuNaona labda serikali imeshajiridhisha kuwa hamna tofauti kubwa sana ya kigezo za kiutendaji kati ya mtu mwenye astashahada na mwenye shahada.
Sana sana mwenye shahada atataka alipwe pesa ndefu kuliko mwenye astashahada kwa majukumu na utekelezaji ule ule anaweza kuufanya mwenye cheti a.k.a astashahada
Fafanua maana ya neno MSOMI kama ukilitaja neno shahada na kuendelea ndani ya maelezo yako utaeleweka.Msomi ni mwenye shahada na kuendelea
AyaFafanua maana ya neno MSOMI kama ukilitaja neno shahada na kuendelea ndani ya maelezo yako utaeleweka.
tatizo wasomi ukiwapeleka wakawe watendaji wa kijiji nanjiringi huko ndanindani hawataa wadumu huko wanatafuta uhamisho warudi mteni wasomi wengi wa tz bado tunakasumba ya kuamini kama umeshasoma basi unapaswa ukae sehemu nzuri kazi nzuri mjini na n.kNimefuatilia sana posti za ajira za utendaji wa mtaa au vijiji sijawahi kuona wakiunganisha kigezo cha shahada kwenye sifa za kazi hiyo na nyingine 50 zimetangazwa wilaya ya Ilemela wanahitaji astashahada tu
Naona kusoma sana sasa hakuna maana Tanzania enzi za mwl Nyerere alithamini sana wasomi hata kipindi cha Rais JK ila kwasasa ni kupoteza muda na kufanya kila msomi kuwa mwanasiasa.