balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Tanzania Kwenu!!!!!!
Nimepanda hili swala la serikali kuajiri walimu 10,000 kabla ya December 2021
Kilichonifurahisha ni kuchukuliwa kwa 20% ya walimu wote kutoka katika maeneo waliyopo (wanakojitolea)
Hii inasaidia sana kupata walimu wanaojua mazingira lakini itasaidia walimu walioko mitihani kutokukaa bure badala ya kwenda kuongeza tija ya kutoa Elimu
Hongera Ummy kazi nzuri
For more please visit:
wahitimuforum.com
/
Nimepanda hili swala la serikali kuajiri walimu 10,000 kabla ya December 2021
Kilichonifurahisha ni kuchukuliwa kwa 20% ya walimu wote kutoka katika maeneo waliyopo (wanakojitolea)
Hii inasaidia sana kupata walimu wanaojua mazingira lakini itasaidia walimu walioko mitihani kutokukaa bure badala ya kwenda kuongeza tija ya kutoa Elimu
Hongera Ummy kazi nzuri
For more please visit:
TAMISEMI 10000 new teachers To Be hired before December 2021 - WahitimuForum
TAMISEMI 10000 new teachers To Be hired before December 2021 The Minister of State for Regional Administration and Local Government (Tamisemi), Ummy Mwalimu, has said [...]
wahitimuforum.com