Obeid Mathias
New Member
- Jan 16, 2014
- 2
- 0
hopeless comment...Kuwa na subira tu Mulugo aliondoka na flash disk yenye majina yenu, tumeagiza mtu amfuate songwe akiileta tuna upload hata kesho kutwa. Ikipotea itabidi tuanze upya kupanga. Pia yakiwa yameliwa virus/trojen horse itabidi yapangwe upya. Hazina hapakuwa na fungu ndicho kitu kilicho kuwa kinachelewesha pia.
Ajira ni kesho saa nane kamili mchana zitatangazwa .
ajira ni kesho saa nane kamili mchana zitatangazwa .
Nilikuwa na mtu wa tamisemi muda si mrefu kasema next week wataweka kwa mtandao
Nilikuwa na mtu wa tamisemi muda si mrefu kasema next week wataweka kwa mtandao
Ajira ni kesho saa nane kamili mchana zitatangazwa .
aisee hawa jamaa(wizara) wanachosha, wengine tunashindwa kuweka mkataba huku private
chagua moja ww
Wewe ni mwalimu najua una njaa sana !kuna siku ulisema tarehe 15,leo unasema kesho! Acha kuwachuza wenzio wewe! Khaa!
Wewe ni mwalimu najua una njaa sana !
Kwa tarifa yako ni kwamba,
Ajira za walimu zitatoka tar. 15.7.2015.
Ole wenu wavivu mnao subiri ajira.
kuwa na subira tu mulugo aliondoka na flash disk yenye majina yenu, tumeagiza mtu amfuate songwe akiileta tuna upload hata kesho kutwa. Ikipotea itabidi tuanze upya kupanga. Pia yakiwa yameliwa virus/trojen horse itabidi yapangwe upya. Hazina hapakuwa na fungu ndicho kitu kilicho kuwa kinachelewesha pia.
Wewe ni mwalimu najua una njaa sana !
Kwa tarifa yako ni kwamba,
Ajira za walimu zitatoka tar. 15.7.2015.
Ole wenu wavivu mnao subiri ajira.
wewe ni zaidi ya mzigo kama ndio kufikiri kwako huku