wizara hata ingeandikaga hivo ingekuwa bora, but kila nikichek MOE nakuta news zilezile za mwaka jana had nalose hop waungwana tetesi za mitaani nazo magumashi lol!
Hili suala la ajira ni balaa, waalim wanauhakika wa kuajiriwa na serikali hali inakuwa hivi, sipatii picha kwa wale wenzangu wanaojitafutia kazi kila siku maofisini..................