Ajira za walimu tarehe 1 May 2015

Status
Not open for further replies.
daah! bora hapa tuombe tu tuwemo, maana mpenz wangu aliniambia huu ndo mwez wa mwisho kunivumilia,,
 
wangejua wangewaacha town tu kwa akili za sasa hivi hawa vijana uwapeleke vijijini alafu uwazingue pesa zao si watasambaza elimu ya uraia na kufanya mpigwe mwezi october
 
dah vijijini tena....ina maana arts hawatopelekwa mijini kabisaaaaa???
 
daah! bora hapa tuombe tu tuwemo, maana mpenz wangu aliniambia huu ndo mwez wa mwisho kunivumilia,,

hafai huyo piga chini, mimi wng huwa hata hana mambo hayo! Mimi nasuuza rungu tu kiroho safi mambo ya kutiana presha hakuna!
 
Nunueni simu zinazokaa na chaji na pia taa za Solar. matipwili Bagamoyo Jf utakua unachati juu ya mnazi
 
sasa walitaka wafanye kazi mjini wakati wamesomea ualimu/udaktari/ugani tena wapelekwe upcountry/interior wakasaidie kueneza injili ya kuwang'oa ccm october. shule za kata ni kaburi tosha kwa ccm. RIP CCM.
 
haina shida, hata kama ndani handaki, acha tukacheze na ngedere zetu maana ndo walikuwa rafik zetu kule Msange JKT
 
magazeti ya leo tar 14/4 majina ya walimu wapya 31000 yatatangazwa tar 24 mwezi huu.kuripoti kuanzia 1/5 nimeipenda iyo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…