marko maluli
Senior Member
- Mar 14, 2015
- 164
- 49
chichimizi kazimia kwa furaha yuko ICU lkn anaendelea vizur
Teh! Teh! Teh!mmmmh! Kaka kuwa mkweli tu, ni mdogo wako au wewe mwenyewe?
chichimizi kazimia kwa furaha yuko ICU lkn anaendelea vizur
daah! bora hapa tuombe tu tuwemo, maana mpenz wangu aliniambia huu ndo mwez wa mwisho kunivumilia,,
dah vijijini tena....ina maana arts hawatopelekwa mijini kabisaaaaa???
Mshara wangu wakwanza nanunua smart phone
Nunueni simu zinazokaa na chaji na pia taa za Solar. matipwili Bagamoyo Jf utakua unachati juu ya mnazi
Nunueni simu zinazokaa na chaji na pia taa za Solar. matipwili Bagamoyo Jf utakua unachati juu ya mnazi