Wakuu tunawaomba mtujuze, kwa sisi Walimu wapya watarajiwa ni vitu gani muhimu ambavyo vitatakiwa tuwe navyo mara tutakaporipoti kwa Wakurugenzi wa Halmashauri tutakazopangiwa na pia katika shule husika.
Tunaomba mtujuze mapema itatusaidia kuandaa mapema, na pia itatuepushia usumbufu wa kurudi tena majumbani jambo ambalo unaweza kujikuta unapoteza nafasi yako ya ajira.
Tunawaomba wazoefu na wajuzi wa hili mtuambie ndugu zenu.
Tunaomba mtujuze mapema itatusaidia kuandaa mapema, na pia itatuepushia usumbufu wa kurudi tena majumbani jambo ambalo unaweza kujikuta unapoteza nafasi yako ya ajira.
Tunawaomba wazoefu na wajuzi wa hili mtuambie ndugu zenu.