Acha utani serikali yetu ni sikivu sema nao tu watawasikia na kuwapangia, rudia kupeleka ujumbe maana serikali yetu japo sikivu watendaji wake viziwi
Acha utani serikali yetu ni sikivu sema nao tu watawasikia na kuwapangia, rudia kupeleka ujumbe maana serikali yetu japo sikivu watendaji wake viziwi
Wewe ni mpumbavu eeh! aliekwambia hii serikali ckivu nani wewe kiumbe? Acha ukuda wewe hii serikali hovyo kabisa sema mitongotongo imekujaa na unaona giza totoro mbele yako
Mvumilivu hula mbivu na mbichi km utapata sehemu ya kujipatia riziki fanya kazi uciisubili serikali.
punguza jazba la mtaani!
u cant blv God kanpa job, nmeitwa interview sehem, 2mepgishwa interview 2kiwa 3pple na aliekua anahtajka ni only 1 bt 4th God Mecy nmepta mie! Duh! Af nlikua napga interview na majamaa wamebobea mbaya! Useme nmewazd makofidens, na knowledge ya kumjua God na Bible vmenpa point nyng sn coz intervw ilikua ni pentecostal based! Af shangaa mi ni fresher frm xcul af Mwl nmemalza mwaka jana, cheo chenyew out frm being a teacher, duh! Nawatia moyo wenzangu, don ever and ever gv up! Ua chanc 2 win z near than 2 loose! I wl pray 4u il post ztoke fasta. Believe.
Acha kudanganya watu serikali ya magamba haina hata chembe ya uckivu zaidi projo na majigambo.Acha utani serikali yetu ni sikivu sema nao tu watawasikia na kuwapangia, rudia kupeleka ujumbe maana serikali yetu japo sikivu watendaji wake viziwi