Kiujumla inaonekana una wivu wa ajira kwa sababu ukupata kusomea ualimu ambao kimsingi ajira yake siyo ya kutembea na bahasha za kaki kama unazotembea nazo muda huu, so kuwa mtu ambaye ana fikra chanya na sio hasi. Nafahamu unajua kwamba kuna huaba wa walimu nchi na hawa walimu waliohitimu wana hamu ya kwenda kuokoa watanzania wanohitaji Elimu ili kusudi waweze kujikomboa. Kupiga kelele kuhusu ajira zao ni haki ya msingi kudai kama wewe huwezi kudai haki yaki yako hacha wenzako wafanye hivyo na siyo kudharau. Kumbuka wewe hapo umepitia mikono ya mwalimu mpaka leo unatukana na kuwadharau, istoshe unategemea kuwa na watoto au umeisha wapata ni matumaini yangu kuwa hutawapeleka shule sijui watafundishwa na walimu hawa hawa unodharau?