M MMOJA JF-Expert Member Joined Aug 30, 2012 Posts 445 Reaction score 259 Sep 11, 2012 #1 Wana JF, Hivi ikitangazwa ajira ambayo requirement mojawapo ni experience,ikiwa fresh graduate akaomba ajira hiyo, Maombi yake yatashughulikiwa?
Wana JF, Hivi ikitangazwa ajira ambayo requirement mojawapo ni experience,ikiwa fresh graduate akaomba ajira hiyo, Maombi yake yatashughulikiwa?
K Kifarutz JF-Expert Member Joined Aug 7, 2012 Posts 1,736 Reaction score 360 Sep 14, 2012 #2 50/50 mdogo wangu, kama ni post kubwa wanatupa kwenye kapu la takataka, kama ni post ndogo ndogo wanashughulikia. Huwezi kumteua mwenyekiti wa uvccm agombee u-rais
50/50 mdogo wangu, kama ni post kubwa wanatupa kwenye kapu la takataka, kama ni post ndogo ndogo wanashughulikia. Huwezi kumteua mwenyekiti wa uvccm agombee u-rais