Ajitafutia kiti ofisini na kujiendesha baada ya kustaafu

Ajitafutia kiti ofisini na kujiendesha baada ya kustaafu

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
10,771
Reaction score
14,129
GTs,

Hakika ukiyasikia ya miaka hii ya utumishi wa umma na kustaafu utashangaa hivi kwanini watu wanang’ang’ania ofisini baada ya muda wa utumishi kuisha?

Kuna mtumishi mmoja hapa Dar alistaafu kwenye taasisi moja ya umma, akaongezewa mkataba kwa mfululizo miaka miwili, mwaka wa tatu wakamkatalia, ila yeye akalazimishq dereva awe ana mfuata, baadaye dereva akazuiwa na ofisi basi njemba akawa anajiendesha mwenyewe na akajiwekea kiti ofisini. Aliendelea na huo mtindo mpaka akafariki mwezi wa nne mwaka huu baada ya mapumziko ya Pasaka.

Hii inamaanisha nini??

Ninavyoona hakuna mtanzania mwenye cheo anataka kuachia cheo chake:

1. hili linaanzia kwa wanasiasa, hakuna mbunge yupo tayari kustaafu

2. Hakuna mkurugenzi wa shirika lolote la umma yupo tayari kustaafu, yaani atafanya lolote huko aongezewe muda hata miaka miwili

3. Hakuna mkuu wa mkoa, RAS, au yeyote kwenye hizo kada anataka kustaafu, yupo tayari kufanya lolote abaki kwenye nafasi au aongezewe muda

Hivyo namuunga mkono Mh. Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa hiyo NGO yake maana ni utamaduni wa walionacho kutaka kuendelea na vyeo, yaani bora auwe mtu kuliko kuachia cheo.
 
GTs,

Hakika ukiyasikia ya miaka hii ya utumishi wa umma na kustaafu utashangaa hivi kwanini watu wanang’ang’ania ofisini baada ya muda wa utumishi kuisha?

Kuna mtumishi mmoja hapa Dar alistaafu kwenye taasisi moja ya umma, akaongezewa mkataba kwa mfululizo miaka miwili, mwaka wa tatu wakamkatalia, ila yeye akalazimishq dereva awe ana mfuata, baadaye dereva akazuiwa na ofisi basi njemba akawa anajiendesha mwenyewe na akajiwekea kiti ofisini. Aliendelea na huo mtindo mpaka akafariki mwezi wa nne mwaka huu baada ya mapumziko ya Pasaka.

Hii inamaanisha nini??

Ninavyoona hakuna mtanzania mwenye cheo anataka kuachia cheo chake:

1. hili linaanzia kwa wanasiasa, hakuna mbunge yupo tayari kustaafu

2. Hakuna mkurugenzi wa shirika lolote la umma yupo tayari kustaafu, yaani atafanya lolote huko aongezewe muda hata miaka miwili

3. Hakuna mkuu wa mkoa, RAS, au yeyote kwenye hizo kada anataka kustaafu, yupo tayari kufanya lolote abaki kwenye nafasi au aongezewe muda

Hivyo namuunga mkono Mh. Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa hiyo NGO yake maana ni utamaduni wa walionacho kutaka kuendelea na vyeo, yaani bora auwe mtu kuliko kuachia cheo.
Ila walikuwa wanamsingizia Magufuli kwamba anataka kubadili katiba ahahaha
 
Mmm cheo kitamu sana, halafu anavyojikausha, hivi wale COVID 19 mnawakumbuka wale walienda vipi bungeni zile zilikuwa baraka zake bwana mkubwa.
 
Vijana tafuteni Carrier compitence ili uweze kuajiriwa. Kenya na Rwanda wanapanua soko la ajira. Wewe unakuja na propaganda za kutaka huruma
1000383099.jpg
 
GTs,

Hakika ukiyasikia ya miaka hii ya utumishi wa umma na kustaafu utashangaa hivi kwanini watu wanang’ang’ania ofisini baada ya muda wa utumishi kuisha?

Kuna mtumishi mmoja hapa Dar alistaafu kwenye taasisi moja ya umma, akaongezewa mkataba kwa mfululizo miaka miwili, mwaka wa tatu wakamkatalia, ila yeye akalazimishq dereva awe ana mfuata, baadaye dereva akazuiwa na ofisi basi njemba akawa anajiendesha mwenyewe na akajiwekea kiti ofisini. Aliendelea na huo mtindo mpaka akafariki mwezi wa nne mwaka huu baada ya mapumziko ya Pasaka.

Hii inamaanisha nini??

Ninavyoona hakuna mtanzania mwenye cheo anataka kuachia cheo chake:

1. hili linaanzia kwa wanasiasa, hakuna mbunge yupo tayari kustaafu

2. Hakuna mkurugenzi wa shirika lolote la umma yupo tayari kustaafu, yaani atafanya lolote huko aongezewe muda hata miaka miwili

3. Hakuna mkuu wa mkoa, RAS, au yeyote kwenye hizo kada anataka kustaafu, yupo tayari kufanya lolote abaki kwenye nafasi au aongezewe muda

Hivyo namuunga mkono Mh. Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa hiyo NGO yake maana ni utamaduni wa walionacho kutaka kuendelea na vyeo, yaani bora auwe mtu kuliko kuachia cheo.
Pes.. tamu,achikuambii ntu ntu. Pes.tamu hasa za kikwapuaaa.
 
Sisi madereva waliostaafu na bado wakapewa mikataba yao feki mmoja alisababisha bonge la ajali coz alisinzia njiani.
 
GTs,

Hakika ukiyasikia ya miaka hii ya utumishi wa umma na kustaafu utashangaa hivi kwanini watu wanang’ang’ania ofisini baada ya muda wa utumishi kuisha?

Kuna mtumishi mmoja hapa Dar alistaafu kwenye taasisi moja ya umma, akaongezewa mkataba kwa mfululizo miaka miwili, mwaka wa tatu wakamkatalia, ila yeye akalazimishq dereva awe ana mfuata, baadaye dereva akazuiwa na ofisi basi njemba akawa anajiendesha mwenyewe na akajiwekea kiti ofisini. Aliendelea na huo mtindo mpaka akafariki mwezi wa nne mwaka huu baada ya mapumziko ya Pasaka.

Hii inamaanisha nini??

Ninavyoona hakuna mtanzania mwenye cheo anataka kuachia cheo chake:

1. hili linaanzia kwa wanasiasa, hakuna mbunge yupo tayari kustaafu

2. Hakuna mkurugenzi wa shirika lolote la umma yupo tayari kustaafu, yaani atafanya lolote huko aongezewe muda hata miaka miwili

3. Hakuna mkuu wa mkoa, RAS, au yeyote kwenye hizo kada anataka kustaafu, yupo tayari kufanya lolote abaki kwenye nafasi au aongezewe muda

Hivyo namuunga mkono Mh. Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa hiyo NGO yake maana ni utamaduni wa walionacho kutaka kuendelea na vyeo, yaani bora auwe mtu kuliko kuachia cheo.
Mmmmh, kuachia asali idondokee kwenye domo la mwingine daaah !
 
Mzee wangu aliandika barua ya kustaafu mara 3 mpk ple tena ilipotimia ya 3 ndo akapumzishwa ila yy alikua kashachoka na kastaafu na moja wapo ya cheo ulokitaja hapo
 
Vijana wa Kenya wao wanakimbilia Saudi Arabia kufanya kazi za ndani. Vijana w Rwanda sija wasikia wakikimbia nchi yao na kwenda Uarabuni kuosha vyombo
Usichague kazi.. Ukitoka nje ya nchi yako unalipwa in terms of Dollar
USA.. wamejaa Foreigners Mfano Wahindi wenye Ujuzi; Uhispania+ Ufaransa+ Italia wamejaa wanasoka kutoka Afrika wenye vipaji wanalipwa pesa nyingi sNa
 
Back
Top Bottom