goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 978
- 1,237
Nataka ninunue mashine ya kusaga nafaka, naona inalipalipa, mwenye kujua bei tafadhari nijuze for both ya umeme na inayotumia mafuta. Na pia mwenye experience na hii bizinez tubadilishane mawazo please!!!