King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia kwenu wana JF,
Ebwana sasa hii sifa,akadumba tangia atoe video na nay wa mitego kawa mtamu,kumbe demu kajaliwa neema za alah,hips wema sepetu anakaa,wezere masogange anasoma namba,nina wasiwasi na yeye tutaanza kumuona na mascandal kwenye magazeti ya shigongo
Kaka songesha na kapichu basi tusiemfehemu japo tumtie kumacho
namuona hapa FNL ni mkali kwakweli, anafigure 8 then natural color
Siwaelewi hao madada wawili waliokuja na ali kiba yani ni shida,kwa kifupi wapo uchi,huyo aliokaa na kiba koteli yote wazi na huyo aliyekaa na akadumba wezere na mahaga yapo wazi kabisa TCRA wana kazi nyingi sana.
Kama Hawa?View attachment 219258
Siwaelewi hao madada wawili waliokuja na ali kiba yani ni shida,kwa kifupi wapo uchi,huyo aliokaa na kiba hoteli yote wazi na huyo aliyekaa na akadumba wezere na mahaga yapo wazi kabisa TCRA wana kazi nyingi sana.
Juma Nature alikuja na Ndala akatimuliwa,but huyu malaya anayecheza matiti nje wanamfurahia tu. Sijapenda Ali Kiba kuja na hawa malaya!
Aliyekuwa amevaa gauni mpasuo jeusi yani binti hatulii hata kidogo
Juma Nature alikuja na Ndala akatimuliwa,but huyu malaya anayecheza matiti nje wanamfurahia tu. Sijapenda Ali Kiba kuja na hawa malaya!
Anaitwa gigy money eti nae anaimba... Ila aisee unafki pembeni , ule mzigo khatariii!! Nilipiga cha mkono bila kupenda ,.
Kama Hawa?View attachment 219258
Kaka songesha na kapichu basi tusiemfehemu japo tumtie kumacho