Akafanya mtihani akapata zero,akazungusha yaani

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
"...zero yaan, yule bwana,...yule kiumbe, akazungusha zero yaan, sio IV zero yaan...." - Gwajima

Dah huyu Gwajima ni babayake Mange? Maana kwa vijembe hatari sana, sishangai mh Bashite kwenda wodi ya bwana Jakaya Kikwete leo
 
Nikikumbuka na yale madongo aliyompaga Pengo hakika huyu ni mfalme wa vijembe. 'Sijui amekula maharage ya wapi huyu, umechoka mzee..
 
Daudi ndio nani?maana nilienda kusabahi ndg huko likoni Mombasa nin kinaendelea bongo??
 
Yaan yule kiumbe yaan.... ajapata zero yaan yule kiumbe.... yaan akazungusha yaan... sio four yaan zero yaan fwa fea fwa
 
Lakini alitoa muda aombwe msamaha
 
"...zero yaan, yule bwana,...yule kiumbe, akazungusha zero yaan, sio IV zero yaan...." - Gwajima

Dah huyu Gwajima ni babayake Mange? Maana kwa vijembe hatari sana, sishangai mh Bashite kwenda wodi ya bwana Jakaya Kikwete leo
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Gwajima akifanya colabo na kibajaj watasepa na kijiji. Wanafanana kimipasho 90%
 
Napenda Gwajima mchungaji afundishe somo la kusamehe, naamini atapata zero ( atazungusha) kwa jinsi alivyojivua uchungaji akavaa taarabu.
 
Napenda Gwajima mchungaji afundishe somo la kusamehe, naamini atapata zero ( atazungusha) kwa jinsi alivyojivua uchungaji akavaa taarabu.
Ila hata mzee wa upako naye hayuko nyuma kwa vijembe
 
Collabo y Gwajima na Mange itakuwa hatariiiiiii, tena polisi na TCRA watulie wausome mchezo , weee mbona viongozi wangekimbizwa Milembe kama si India
 
Gwajima amenikumbusha u-snitch wa Joti kwenye copy & paste segment. Nadhani kama zekomedi wangekuwa bado active, wangepata materials nyingi sana since hizi drama zimeanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…