Ha ha ha ha ha ha .......uasi utaanzia poli la Biharamulo?????????Mnyarwanda ni hatari sana kwa ujangili.Upatikanaji wa silaha ni rahisi kwao mno.Nina imani huko biharamulo serikali ikiamua kuweka amsha2 ya silaha hata vifaru watavikuta maana mtusi kafichama kule.
Hata hela wanaita Hera ndio maana hawana.Nyie watu kwanini pori mnaita "poli"?
Aaaaahhh mnakera sana
Na hata humu mengi tu yanasemwaHao watu wenu wa TISS na Jeshi walikuwa wanasubiria habari iletwe Jf ndio waunde task force ?
Ile operation ya kuondoa wahamiaji haramu ije awamu ya piliMnyarwanda ni hatari sana kwa ujangili.Upatikanaji wa silaha ni rahisi kwao mno.Nina imani huko biharamulo serikali ikiamua kuweka amsha2 ya silaha hata vifaru watavikuta maana mtusi kafichama kule.
Haswaa, wanatakiwa kuachwa wa move freely.Ni kweli kabisa. Je, na huko wanaZUIWA kurudi?
Haya majibu mbona kama ya Sizonje!? Bila shaka ni yeye!!Huwezi kumfilisi Bill Gates kwa kumuibia Tsh milioni mia. Tz ni tajiri wa rasilimali za wanyama na mbuga za wanyama. Hatuwezi kuathirika kwa udokozi wao wa swalla wawili, watatu.
Ni lafudhi.Msiwabeze sana mkawatoa kwenye mada hizo ni lafuzi tu Mbona zinatumiwa sana na baadhi ya maeneo
Akagera national park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori la Burigi, Kimisi ,Rumanyika na Ibanda na kuwafungia kwenye fence- H. Kigwangala umelala
Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapori ya Tanzania na Rwanda , Tanzania kuna mapori mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa pori la Burigi, Kimisi, Rumanyika na Ibanda. Rwanda mbuga yao inayoungana na mapori haya wameifanya national park .
Inalindwa na jeshi la Rwanda, kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa Tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya Biharamulo wanyama walikuwa wanakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui, swala, nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo lakini kwa sasa wamepotea.
Na hii historia imeanza baada ya Rwanda kupandisha hifadhi ya Akagera na kuifanya nationa park.
1. Wanatumia jina la Akagera kuwahadaa watalii wanaodhani wanakuja mkoa wa Kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na Kagera kwani wanashare wanyama na mapori ya Kagera
2. Mapori ya Kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapori ya Tanzania na kuwafukuza wanyama kuhamia pori lao la Akagera.
3. Jeshi la jirani lilianza kuteka pori la Burigi, na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali Rwanda wanafukuza wanyama na kuwapeleka pori lao .
4. Baada ya wanyama wa kila aina toka mapori ya Kagera kujaa pori la Akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence hawarudi .
Ushauri wa bure: Tulishakosea zamani tusifufue makaburi, nashauri ipandishwe hadhi pori la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack
Nani Askofu wa eneo hilo, si ni Bagonda? Sijui kama halioni hilo, inamuuma zaidi Abdul Nondo akitekwa.Akagera national park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori la Burigi, Kimisi ,Rumanyika na Ibanda na kuwafungia kwenye fence- H. Kigwangala umelala
Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapori ya Tanzania na Rwanda , Tanzania kuna mapori mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa pori la Burigi, Kimisi, Rumanyika na Ibanda. Rwanda mbuga yao inayoungana na mapori haya wameifanya national park .
Inalindwa na jeshi la Rwanda, kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa Tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya Biharamulo wanyama walikuwa wanakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui, swala, nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo lakini kwa sasa wamepotea.
Na hii historia imeanza baada ya Rwanda kupandisha hifadhi ya Akagera na kuifanya nationa park.
1. Wanatumia jina la Akagera kuwahadaa watalii wanaodhani wanakuja mkoa wa Kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na Kagera kwani wanashare wanyama na mapori ya Kagera
2. Mapori ya Kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapori ya Tanzania na kuwafukuza wanyama kuhamia pori lao la Akagera.
3. Jeshi la jirani lilianza kuteka pori la Burigi, na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali Rwanda wanafukuza wanyama na kuwapeleka pori lao .
4. Baada ya wanyama wa kila aina toka mapori ya Kagera kujaa pori la Akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence hawarudi .
Ushauri wa bure: Tulishakosea zamani tusifufue makaburi, nashauri ipandishwe hadhi pori la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack
Nani Askofu wa eneo hilo, si ni Bagonda? Sijui kama halioni hilo, inamuuma zaidi Abdul Nondo akitekwa.Akagera national park ya Rwanda inavyochukua wanyama wa pori la Burigi, Kimisi ,Rumanyika na Ibanda na kuwafungia kwenye fence- H. Kigwangala umelala
Akagera national park ni mbuga inayounganisha mapori ya Tanzania na Rwanda , Tanzania kuna mapori mengi ambayo badala ya kuyapandisha hadhi tumeyaacha kama game resrve ambayo ni wa pori la Burigi, Kimisi, Rumanyika na Ibanda. Rwanda mbuga yao inayoungana na mapori haya wameifanya national park .
Inalindwa na jeshi la Rwanda, kutoka na vita wanyama wengi walikuwa upande wa Tanzania miaka ya 80 mpaka 90, wilaya ya Biharamulo wanyama walikuwa wanakuja mpaka mjini suala la kuona simba, chui, swala, nyani na kifaru ilikuwa suala la kawaida na tembo lakini kwa sasa wamepotea.
Na hii historia imeanza baada ya Rwanda kupandisha hifadhi ya Akagera na kuifanya nationa park.
1. Wanatumia jina la Akagera kuwahadaa watalii wanaodhani wanakuja mkoa wa Kagera na kiuhalisia mbuga hiyo inapakana na Kagera kwani wanashare wanyama na mapori ya Kagera
2. Mapori ya Kagera yalivamiwa na wanyarwanda kimkakati na kuanza kuchoma moto mapori ya Tanzania na kuwafukuza wanyama kuhamia pori lao la Akagera.
3. Jeshi la jirani lilianza kuteka pori la Burigi, na serikali kupeleka operation ya kusindikiza magari ili hali Rwanda wanafukuza wanyama na kuwapeleka pori lao .
4. Baada ya wanyama wa kila aina toka mapori ya Kagera kujaa pori la Akagera wamezungusha fence ya moto wa umeme kuwazuia wasirudi na wanaoingia kwenye fence hawarudi .
Ushauri wa bure: Tulishakosea zamani tusifufue makaburi, nashauri ipandishwe hadhi pori la burigi na kuwa national park ili tudhibiti wanyama wetu ili kujua idadi ya wanyama na kuwatrack
Hii inaweza kuwa ni mada nzito sana ya kuanzia mwaka na ambayo kama watu wanafuatilia (na I know they do) watu wetu wa inteligensia (TISS na wa Jeshi) watakuwa wanaunda task force kuelekea pande hizo kabla ya mwisho wa wiki..