....safi sana M7. Kamata wote hao na tia ndani. Maana bila wewe M7 Uganda haiwezi kutawalika. Mpaka kizazi kitakapojielewa ndiyo wape demokrasia, ila kwa sasa kandamiza mwanawane wasipumue kabisa, kwani amani ya Uganda tunaihitaji mno africa mashariki.