Akanipandishia gauni ili nione vizuri…………………!

Hujui kupiga mbizi?
Ningekuwa mie, ningempigia mbizi sakafuni
 
Baba, mbona huyu dada yako wa hiari sijawahi kumuona akija hm?
Mbona ww ulipiga chapo na unato macho yako mpaka sasa na hujapofuka?
Je ni ruhusa kpiga chabo akina kaka?

Wewe sasa unataka kunivurugia ndoa yangu na mama yako..............nakwambia koma we binti. Halafu unataka kuwapiga chabo wanaume ili upate nini? utabeba mimba za utotoni unitie aibu niimbwe kwenye matamasha ya Michiriku hapa mtaani./
Kwanza sitaki udadisi wako. tutaongea nyumbani jioni..................Duh! mtoto balaa sana weye......................
 
Ok baba nimekoma but naomba kukujibu swali lako,
Nataka kuwachungulia ili na mie nione ule UTUKUFU ulioona kwa dada Glady ulipomchungulia!!!!
 

piga chabo for a reason..
 
Haha eti nini kinang'aa zaid kati ya mwezi na nyota, kweli kuna wanawake wana vituko...Lakini naye dogo alikosea kitu kimoja...Angesema mbona navyo fahamu mimi, Jua ndo linang'aa zaidi afu lina choma sana .
 
Ok baba nimekoma but naomba kukujibu swali lako,
Nataka kuwachungulia ili na mie nione ule UTUKUFU ulioona kwa dada Glady ulipomchungulia!!!!

Una visa wewe.......................!
 
Nimempenda huyo dada manake kweli alikuweza....hayo ndio madhara ya kuwa na macho kodo, kodo... Ulikuwa unamtizama ili iweje?...lol
 
Mhhhh..........Babu mi leo hata shikamoo sikupi, break ya kwanza kwa Bibi.
 
Ungemwomba akuvulie na chupi kabisaaaaaaaaa ili uone vizuri! Au hakuvaa hiyo kitu? Maana kuna watu huwa hawavai cku hizi chupi wanapoenda makazini, eti joto ni kali!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kiukweli alifanya vzuri japo alitakiwa akuite faragha akuonyeshe bila chenga ili ujue kipi kinachongaa zaidi kati ya jua na mbalamwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…