Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,278
Lols, I dont think so, he might be in love with someone else but not me.cc: Mrs Bishanga,ya kweli haya?
haaaaa Bishanga kumbe una mke tena muthungu?
Heeee Mamndenyi..! Ametokea wapi tena huyu Mrs Bishanga..? Ama kweli ukiyashangaa ya Musa..
Ila subiri kwanza.. Inawezekana The secretary ameamua kujiita Mrs kweli..? Au huyu waifu Bishanga kaletewa toka Kakiziba huko..?
Ngoja nimuulize mpwa wake Ruttashobolwa..
Mzee uliimba nyimbo za hip-hop nikawa sielewi mashairi yako
jaribu kumwimbia Zahra White walau foleni ipungue.
Taratibu Mamndenyi nisije nikatema big gee kwa karanga za kuonja...... Zahra White!
Nina muganga mupya mutanikoma
Zahra White jambo bi mdogo, where were you lakini,
ok ukiroga Mamndenyi atafanya maombi
alafu utaona what are the results.
Kapotea kweli....dah nimemiss sanaSalam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Shikamoo (Hidaya)...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
hidaya yupo pale kaloleni hidaya wa pepe kaleSalam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Shikamoo (Hidaya)...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
Kumbe huyu bibie alikuwa bado yuko.Tanzia:
Tunasikitika kutangaza kifo Cha Hidaya Khamis Mtumwa (almaarufu hidaya Pepe kalee)
kilichotokea leo.
Marehemu ni Mtoto wa
Marehemu Mzee Khamis Mtumwa wa Bondeni. Marehemu ni Mdogo wake
Salma Khamis Mtumwa,
Zenab Khamis Mtumwa,
Nadhifa Khamis Mtumwa na
Ibrahim Khamis Mtumwa.
Marehemu pia ni Dada yake
Hassan Tea,
Juma Matara na
Muhammad Khamis.
Marehemu pia ni mama yake
Marehemu Leyla Mtumwa na
Kassongo Mtumwa.
Msiba uko nyumbani kwa marehemu Mtaa wa Kaloleni.
Tutajulishana taratibu za mazishi pindi tutakapopata ratiba kamili ya mazishi.
Innaa lillaahi wa Innaa Ilayhi raajiuun
Shikamoo seye seyeee...Idaya
Mwenye huo wimbo aweke
Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Shikamoo (Hidaya)...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
===============================================
Miaka imeenda, kweli Mpenzi wangu Bishanga hajulikani kabisa aakinong'ona
Mwingine alisikika akinong'ona "nimepoteza kamasi zangu"Salam sana wana cc wote,
Nimekumbuka wimbo wa ...pepe kale... R.I.P
unaoitwa ...Shikamoo (Hidaya)...... kuna mahali alisema...
Nimepoteza mupenzi wangu kule Tanzania .......
Nimepoteza mkanda wa kiuno.......
Hapa namtafuta Bishanga ..... sina maneno ya nyongeza.
===============================================
Miaka imeenda, kweli Mpenzi wangu Bishanga hajulikani kabisa aliko.