Akataa kuolewa kisa mwanauwe hawezi kuandaa sherehe ila mahali yuko tayari kutoa

Akataa kuolewa kisa mwanauwe hawezi kuandaa sherehe ila mahali yuko tayari kutoa

masara

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,738
Reaction score
2,282
Za mda huu wadau,

Ni mama wa miaka 40 na ambaye pia ni mzee wa kanisa haya makanisa ya kilokole na alishawahi kuolewa na kudumu kwedumu kwenye ndoa kwa miaka 7 ila hakubahatika kupata mtoto mwanaume akamkimbia . Sasa kapata kijana mdogo tu wakaelewana, kijana akasema yeye yuko tayari kutoa mahali ila kufanya sherehe huo uwezo hana.

Mama kusikia hivyo akajibu kuwa yeye ameshachangia watu wengi sana hivyo kama hakuna sherehe basi mahusiano yafe na kijana ameamua kukaa pembeni
 
Mwanamke huyo kwangu ni kama aku yimae kunde kakupunguzia mashuzi, ye anataka NDOA ama harusi!?
 
Kijana marioo mama ndiyo mwenye kisu ayafuate ya Bi mkubwa huyo shauri yake atakoma kilanga kitamuisha.
 
Kijana marioo mama ndiyo mwenye kisu ayafuate ya Bi mkubwa huyo shauri yake atakoma kilanga kitamuisha.
mama choka mbaya na kijana choka mbaya. kama mama ndio mwenye kisu si angesimamia hiyo sherehe anayoitaka.

mama amekosa vingi inafika hatua anaona kama sio kweli kukosa mpaka sherehe ya ndoa
 
Huyo kijana anakwepa tu fedhea ya siku ya harusi kuona ndugu na jamaa wote wanakusanyana na kushihudia yupo na mbibi.
 
mama choka mbaya na kijana choka mbaya. kama mama ndio mwenye kisu si angesimamia hiyo sherehe anayoitaka.

mama amekosa vingi inafika hatua anaona kama sio kweli kukosa mpaka sherehe ya ndoa
Mama keshasema amechangia wengi ss kijana suti ya mtumba tuu inamsulubu.Yeye aache michango ya bi mdashi ifanye kazi.
 
Back
Top Bottom