Castle
Senior Member
- Jul 25, 2008
- 116
- 20
Jamaa mmoja alifikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumbaka bibi kizee,
baada ya kusomewa shitaka lake bibi kizee alitakiwa kuelezea ilivyokuwa na kisha kupendekeza adhabu aliyoona inafaa kupatiwa huyo kijana mbakaji.
bibi kizee:ulikuwa usiku alikuja huyu kijana na kuanza kuvunja mlango wangu mimi nilikuwa namsikia,
hakimu:endelea.
bibi kizee:akaingia ndani mpaka kitandani kwangu mimi namuangalia tu,
hakimu:endelea
bibi kizee:akanivua nguo zangu zote mimi namuangalia tu.
hakimu:endelea
bibi kizee:akaanza kufanya ujinga wake mimi namuangalia tu.
hakimu:endelea
bibi kizee:akawa anaenda kushotooooooo mimi naenda kulia, akienda kuliaaa mimi naenda kushoto yeye alidhani mimi siwezi sijui.
hakimu:sasa kutokana na hilo jambo ulilofanyiwa unaiambiaje mahakama kuhusu adhabu kwa huyu kijana.
bibi kizee: AKAUTENGENEZE MLANGO WANGU TU.
baada ya kusomewa shitaka lake bibi kizee alitakiwa kuelezea ilivyokuwa na kisha kupendekeza adhabu aliyoona inafaa kupatiwa huyo kijana mbakaji.
bibi kizee:ulikuwa usiku alikuja huyu kijana na kuanza kuvunja mlango wangu mimi nilikuwa namsikia,
hakimu:endelea.
bibi kizee:akaingia ndani mpaka kitandani kwangu mimi namuangalia tu,
hakimu:endelea
bibi kizee:akanivua nguo zangu zote mimi namuangalia tu.
hakimu:endelea
bibi kizee:akaanza kufanya ujinga wake mimi namuangalia tu.
hakimu:endelea
bibi kizee:akawa anaenda kushotooooooo mimi naenda kulia, akienda kuliaaa mimi naenda kushoto yeye alidhani mimi siwezi sijui.
hakimu:sasa kutokana na hilo jambo ulilofanyiwa unaiambiaje mahakama kuhusu adhabu kwa huyu kijana.
bibi kizee: AKAUTENGENEZE MLANGO WANGU TU.