Aminiamini nakwambia wanawake wangepewa misuli kama yetu wanaume Dunia isingekalika kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baadhi ya wanawake ni viumbe katili sana..
Jamani umkate baba wa watu machine unataka aitwe Auntie Aisha..??
Pole yake maskiini..!!
Huyo mwanamke anaroho mgumu πππARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Uzi siuoni huu wa madawa nataka ni weke kisa...Kule hakuaminiki yaani Toka waseme unawekewa madawa Huwa sihitaji mwanamke wa Arusha.
Hivi hawaoni Kwa kufanya hivi wanajipotezea soko?
Kwa hiyo tuzin na wanaume?MITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."
Barikiwa sana. Mambo haya yamefichwa machoni pao. Wameamua kuwa maadui wa Mungu. YAKOBO 4:4 "Enyi WAZINZI, hamjui ya kwamba kuwa rafiki wa dunia ni kuwa adui na Mungu? basi kila atakaye kuwa rafiki wa dunia hujifanya kuwa adui wa Mungu".MITHALI 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."
Mwanamke anaingia na kisu gesti? Huyo ni jambazi bhana..Huyo atakuwa malaya alikuwa anadhulumiwa na mteja akaamua kujitetea. Watu wa Arusha acheni upuuzi. Wanawake kwa wanaume wote wakorofi hatari. Hilo janajike liliendaje gesti na kisu?
Alikatwa na makalio pia ili awe hana mbele wala nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baadhi ya wanawake ni viumbe katili sana..
Jamani umkate baba wa watu machine unataka aitwe Auntie Aisha..??
Pole yake maskiini..!!
inasikitisha watu ni wakatili sanaπβ¦..kwanini kifungo lakini πππKama dada mmoja hapa arusha juzi ameumwa chuchu na jamaa afu akakitema kiko km kifungo.yule dada alikuwa analia jamani adi nilimuurumia.alidate na jamaa kumbe chizi
πππAlikatwa na makalio pia ili awe hana mbele wala nyuma
Anauzaje!?Atakuwa Regina Kistuli wa Mianzini huyo...Muuza utamu Regina
π π π Nacheka lakini naogopaARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Amechoka sana siku hizi halafu Hilo jina sio jina lake la kuzaliwa, ni jina la kaziAnauzaje!?
Mambo ya Kenya yanazidi kuingia taratibu huku kupitia mipaka yetuARUSHA: Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina moja la Silayo anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 40 mkazi wa Kata ya Sakina jijini Arusha, amekatwa uume wake kwa kisu na mwanamke anayedaiwa ametambulika kwa jina moja la Regina, wakati akiwa Gesti Jijini hapa baada ya kuzuka ugomvi baina yake na mwanamke huyo usiku wa manane, kiasi cha uume huo kushonwa nyuzi nane.
Diwani wa kata ya Sakina, ndugu Elvicent Wilson akizungumza na GADI TV kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema mbali na mwanaume huyo kujeruhiwa uume wake amekatwa sehemu mbalimbali ikiwemo makalio. CHANZO: GADI TV
Huko Arusha Sabaya peke yake ndiyo anawawezea hadi wote wanakua na adabu!!Huko Arusha mna shida gani jamani? Kwani Arusha iko karibu na Mara kwamba mmekopi kwa Wakurya?