Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo naruhusuwa kutoa mda wowote aukafungue dtb pesa yako itatulia bila kukatwa katwa
ndio
fungua chapchap account nasikia haina makato mengi sanaWadau nataka kufungua akaunti ya nmb bank kwaajili ya kutunza hela zangu je ni akaunti gani nzuri ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Fungua bonus ac haina makato ya mwezi zaidi unapewa bonusWadau nataka kufungua akaunti ya nmb bank kwaajili ya kutunza hela zangu je ni akaunti gani nzuri ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kama ni lazima utunze benki basi fungua NMB bonus account.Wadau nataka kufungua akaunti ya nmb bank kwaajili ya kutunza hela zangu je ni akaunti gani nzuri ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Yeye anataka kutunza hela, hisa zinaweza kushuka hivyo thamani yake ya pesa ikashuka, labda angejiunga na UTT Amis ambao pesa yake itaongezeka kwa 1% (approximately) per month au anunue hatifungani za benki kuu.Nunua hisa Kama hauna kazi nayo recently
Kianzio ni Tsh ngapiKwa Nmb bonus account ni suluhisho la kutunza pesa zako bila umbea, haukatwi makato ya mwezi, kutoa kwa miezi mitatu una ruhusiwa kutoa mara 1 bila kuathiri riba yako ya bonus kutokana na kiwango ulicho weka kwenye account nawasilisha.
50,000Tsh/=Kianzio ni Tsh ngapi
Nzuri hii... Ngoja nikaweke 870k50,000Tsh/=
Kwangu mimi naipenda hii banki kwa kutunza hela kwa sababu zifuatazoWadau nataka kufungua akaunti ya nmb bank kwaajili ya kutunza hela zangu je ni akaunti gani nzuri ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kwa Nmb bonus account ni suluhisho la kutunza pesa zako bila umbea, haukatwi makato ya mwezi, kutoa kwa miezi mitatu una ruhusiwa kutoa mara 1 bila kuathiri riba yako ya bonus kutokana na kiwango ulicho weka kwenye account nawasilisha.