Akaunti ya TCRA imeondolewa X (Twitter), kuna nini?

Akaunti ya TCRA imeondolewa X (Twitter), kuna nini?

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu salam,

Kama utakuwa mtembeleaji wa mtandao wa X utakuwa umeona hili.

X.jpg

xx.jpg

Accout ya TCRA imeondolewa X, na pia TCRA imeondoa X kwenye list ya matandao ambayo wanapatika!

Je, nini kimetokea? Anko Elon atakuwa amewatimua baada ya sekeseke la kutaka kutufungia X? Au sababu wamegoma kuruhusu Starlink kufanya kazi nchi?

Au ndio wameanza kujitoa ili wafungie moja kwa moja mtandao wa X kuhakikisha hawapati tabu kipindi cha uchaguzi? Maana Mkurugenzi wa TCRA anaonekana anakwazika kweli tunavyotoa maoni na kuichana serikali mtandaoni, anatakuwa anatamni turudi enzi za Mwalimu, kuwasiliana kwa barua, mtaa nzima simu moja:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

Pia soma: Kuelekea 2025 - Upuuzi kuifungia Twitter, kama tunachukia tabia chafu, tuifungie Serikali

Angekuwa na nia nzuri na uhuru wa kutoa maoni wa Watanzania, angekuwa mstari wa kwanza kutetea hili, hata tungepata neno kutoka kwao kulaani yoyote anayetaka X ifungwe sababu inaenda kinyume na Katiba, lakini mzee baba wapiii, kimyaaaa!

#KataaMachawa
#KataaUozo2025
 
Wakuu salam,

Kama utakuwa mtembeleaji wa mtandao wa X utakuwa umeona hili.


Accout ya TCRA imeondolewa X, na pia TCRA imeondoa X kwenye list ya matandao ambayo wanapatika!

Je, nini kimetokea? Anko Elon atakuwa amewatimua baada ya sekeseke la kutaka kutufungia X? Au sababu wamegoma kuruhusu Starlink kufanya kazi nchi?

Au ndio wameanza kujitoa ili wafungie moja kwa moja mtandao wa X kuhakikisha hawapati tabu kipindi cha uchaguzi? Maana Mkurugenzi wa TCRA anaonekana anakwazika kweli tunavyotoa maoni na kuichana serikali mtandaoni, anatakuwa anatamni turudi enzi za Mwalimu, kuwasiliana kwa barua, mtaa nzima simu moja:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

Pia soma: Kuelekea 2025 - Upuuzi kuifungia Twitter, kama tunachukia tabia chafu, tuifungie Serikali

Angekuwa na nia nzuri na uhuru wa kutoa maoni wa Watanzania, angekuwa mstari wa kwanza kutetea hili, hata tungepata neno kutoka kwao kulaani yoyote anayetaka X ifungwe sababu inaenda kinyume na Katiba, lakini mzee baba wapiii, kimyaaaa!

#KataaMachawa
#KataaUozo2025
Hivi Wazungu nao huwa wanazichana nchi zao mtandaoni kama mambumbumbu/mafala kutoka Bara hili na hasa Tz?
 
Back
Top Bottom