Akaunti ya X ya Mohammed Dewji Yadukuliwa, Watumiaji Waonywa Kutoifungua Link Zinazotumwa

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Leo, Februari 5, 2025, majira ya saa 10 jioni, akaunti ya X ya mfanyabiashara maarufu Mohammed Dewji (@moodewji) imeripotiwa kudukuliwa. Wadukuzi wameweza kuchapisha ujumbe wenye kiungo kinachodaiwa kuwa na madhara kwa watumiaji.

Inashauriwa kwa nguvu zote kutojibu wala kufungua kiungo chochote kinachotumwa kutoka kwenye akaunti hiyo kwa sasa. Tafadhali kuwa makini na taarifa zinazotoka kwenye akaunti hiyo hadi itakapothibitishwa kuwa imerejeshwa na usalama wake umeimarishwa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…