Samson Ngomboli
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 1,598
- 2,710
Kwani kazi ni hiyo tu?,si wakabebe hata box mbona watanganyika wenzetu wapo huko wameweza, wao wanakwama wapi.Kazi yao kuharibu tu watoto wetu nakufanya dunia kuwa ya wazinzi,wafiraji na wasagaji,wabarikiwe waliowandoa,naamini watakuwa wamewapa 'life ban'.mkuu kumbuka kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kazi hiyo ya ukahaba
Mfano account ipi ya kibongo imepitiwa na ufagio?mkuu huo mfagio haujamuacha mtu salama
Wanafanya kweli lakini kwa kulazimishwa. Si kwa hiari. Ingekuwa hiari angekuwa anamchagua anaefanya nae. Yeye ni yoyote ili mradi kupangiwa kufanya nae. Kwa hiyo anaigiza ili apate hela.Sidhani kama wanaigiza,wale wanafanya ngono
Kuigiza ni kama unaangalia filamu inaonyesha mtu kauawa lakini uhalisia ni mzima,au gari limewaka moto kumbe sio.
Sasa hawa si wanafanya kweli.
mfano nani imeondolewa?Mamia ya akaunti za waigizaji wa filamu za ngono zimetolewa katoka mtandao wa Instagram mwaka huu, huku wengi wakisema watu hao wako katika hadhi tofauti kuliko nyota wa kawaida.
Mtandao huo umedai akaunti hizo huchapisha maswala yaliyo kinyume cha sheria za mtandao huo.
Sasa toa maoni yako kuhusu hatua hii.
ni nani?Hawajaitoa ya Moria Mills
bongo kuna wacheza ngono kwani?Mfano account ipi ya kibongo imepitiwa na ufagio?
Wapo kina Amber ruttybongo kuna wacheza ngono kwani?
kwani unazani jamaa waki iondoa akaunt watakutumia taalifa?Mfano account ipi ya kibongo imepitiwa na ufagio?
uyo ilikuwa ajari tuWapo kina Amber rutty
mkuu kumbuka kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kazi hiyo ya ukahaba
Wakiruhusiwa waendele. Na wale wa jinsia moja nao watataka haki yao km wengine. N bora tyu wafungiwemkuu kumbuka kuna watu wanaendesha maisha yao kwa kazi hiyo ya ukahaba
Labda inawezekana sisi tunaona kama huwa inaingia kumbe haiingii..inapita pembeni ..labda ndio mana wanasema wanaigizaSidhani kama wanaigiza,wale wanafanya ngono
Kuigiza ni kama unaangalia filamu inaonyesha mtu kauawa lakini uhalisia ni mzima,au gari limewaka moto kumbe sio.
Sasa hawa si wanafanya kweli.
Labda inawezekana sisi tunaona kama huwa inaingia kumbe haiingii..inapita pembeni ..labda ndio mana wanasema wanaigiza