Akaunti zangu zote za WhatsApp zimepigwa ban. Nifanye nini kutatua hili?

Akaunti zangu zote za WhatsApp zimepigwa ban. Nifanye nini kutatua hili?

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Moja kwa moja kwenye mada.

Whatsap wamekuwa na tabia ya kupiga accounts zangu za Whatsapp ban pasinakuwa na sababu za msingi.

Zamani nilikua nmezoea kutumia GB WhatsApp na FM Whatsapp kwa sababu ya features zake lakini baada ya kupigwa ban mara kwa mara nikaachana nazo nikawa natumia Whatsapp za kawaida (WhatsApp Business & WhatsApp mana nina namba mbili)

Sasa Hivi Juzi tarehe 10 walipiga ban namba yangu moja ban nikawasiliana nao hawajanijibu mpaka hivi leo wakati sio kawaida yao, nimezoea nikiwatumia text wanareply on the spot au baada ya muda mfupi na kisha kufunguliwa account yangu na kuendelea kutumia kama kawaida.

Sasa baada ya kuona hamna feedback leo nikaamua kufuta Whatsapp ambayo ilikua active ili niweze kubadili namba ambayo ndo naitumia kwenye Biashara kwa kutumia app ile ambayo namba yangu ilipigwa ban cha kushangaza sijamaliza hata lisaa nayenyewe imepigwa ban.

hapa sielewi nipo na stress biashara haziendi vile zinapaswa kuwa.

Naombeni msaada kwa anaejua jinsi ya kutatua hili tatizo.[emoji120]

Screenshot_20230116-135252.jpg
 
Unapozidi kufanya mambo mengi ndo unazidi kuzidisha mda wa ban,,tulizana kwa saivi...hamia hata telegram
Tatizo Whatsapp ndo natumia sana kupromote biashara zangu mkuu, plus groups za familia, za Biashara na baadhi ya groups ( ... ) Lazima niwe na access nazo.

Unachokisema ni sawa na umfungie Diamond Account yake ya Instagram af umwambie atumie Twitter.

Naomba nisaidie namna nyingine mkuu[emoji120]
 
Tatizo Whatsapp ndo natumia sana kupromote biashara zangu mkuu, plus groups za familia, za Biashara na baadhi ya groups ( ... ) Lazima niwe na access nazo.

Unachokisema ni sawa na umfungie Diamond Account yake ya Instagram af umwambie atumie Twitter.

Naomba nisaidie namna nyingine mkuu[emoji120]
Kama pc unayo jaribu kutumia kwa pande izo uone kama hali itakuwa ni ile ile.
 
Tatizo Whatsapp ndo natumia sana kupromote biashara zangu mkuu, plus groups za familia, za Biashara na baadhi ya groups ( ... ) Lazima niwe na access nazo.

Unachokisema ni sawa na umfungie Diamond Account yake ya Instagram af umwambie atumie Twitter.

Naomba nisaidie namna nyingine mkuu[emoji120]
Hii kitu inawakutaga watu wanaofanya biashara thru WhatsApp groups, watu wakiwa not interested wakitaka kuleft huwa wanaombwa kuchagua , why do you want to leave the group? Anapewa kuchagua not interested, spam etc , Sasa nahisi watu wengi wabongo wanaclick spam, bila kujua Ni hasara kiasi gani wanakusababisha.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu inawakutaga watu wanaofanya biashara thru WhatsApp groups, watu wakiwa not interested wakitaka kuleft huwa wanaombwa kuchagua , why do you want to leave the group? Anapewa kuchagua not interested, spam etc , Sasa nahisi watu wengi wabongo wanaclick spam, bila kujua Ni hasara kiasi gani wanakusababisha.

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Wafanya biashara nao uwa wana add watu bila ruhusa mwisho wa siku inakua ni kero
 
Tatizo Whatsapp ndo natumia sana kupromote biashara zangu mkuu, plus groups za familia, za Biashara na baadhi ya groups ( ... ) Lazima niwe na access nazo.

Unachokisema ni sawa na umfungie Diamond Account yake ya Instagram af umwambie atumie Twitter.

Naomba nisaidie namna nyingine mkuu[emoji120]
Waandikie email

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom