Yaonesha huyu bwana anadhani hiki chama ni kwa ajili ya matambiko:
Ajulishwe James Mbowe, hiki chama hapendwi mtu bali msimamo wake.
Soma Pia: James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga
Zaidi sana huku matambiko si mahali pale.
==========
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Katavi Rhoda Kunchela amemuonya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho kutoka jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro James Mbowe kwa kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Godbless Lema "anatumia kauli za ukabila"
Bure kabisa!
Ajulishwe James Mbowe, hiki chama hapendwi mtu bali msimamo wake.
Soma Pia: James Mbowe: Tabia alizoonesha Lema sio tabia za Wachaga
Zaidi sana huku matambiko si mahali pale.
==========
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Katavi Rhoda Kunchela amemuonya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho kutoka jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro James Mbowe kwa kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Godbless Lema "anatumia kauli za ukabila"
Bure kabisa!