Zaidi sana huku matambiko si mahali pale.
==========
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Katavi Rhoda Kunchela amemuonya Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho kutoka jimbo la Hai, mkoani Kilimanjaro James Mbowe kwa kumshambulia aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini Godbless Lema "anatumia kauli za ukabila"