Aki na Ukwa(Paw paw) Kurudi katika uigizaji

Aki na Ukwa(Paw paw) Kurudi katika uigizaji

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Screenshot_20210506-133021.png
Screenshot_20210506-133039.png
 
Hawawezi kufurahisha kama walivyofurahisha walivyokuwa bado wadogo.

Now ni watu wazima, wataigiza kiutu uzima uzima.

Kipindi wewe unawaona kuwa ni wadogo, hawakuwa wadogo wewe! Sema walikuwa bado hawajapata hela lakini walikuwa tayari ni watu wazima kabisa, now wamepata pesa ndio maana unawaona walivyo! Wangekuwa huko ndichi/ushagoo na wakawa hawana hela wangeonekana vitoto tu!
Kwa hiyo kwa talent walizo nazo bado watafurahisha sana tu!
 
Kuna kipindi ilisemekana mmoja alifariki kumbe ni uongo
 
Back
Top Bottom