akiachana nao anawachukia

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Alianza ruge miaka ya 2000 bifu mpaka leo,gadner kuna kipindi amamwandikia wanaume kama mabinti usiumee moyo na siri yangu,jamaa akajirudi,credo mwaipopo,mzee kimei baada ya kumtosa alipompa dili za tangazo crdb akamuandikia siku hazigandi,chidi beenz akamtolea wangu, na hii yahaya kamaliza na yule dogo wa radio one
swali kuna ulazima gani kutoa nyimba kila mtu anapoachana naye?
 
Yahaya unaishi wapi..............

Hivi baada ya aibu yenu kwenye the finest
bado unaendeleaga kuichokonoa tuu #TeamAnaconda #
ukimaliza kachukue buku 7 yako kwa Rugay!!!!!!!!!!!
 
mnajaribu sana lakini hamtaweza....nyimbo au mtunzi wa nyimbo anatunga wimbo kutokana na mazingira fulani. Iwe kweli au hapana hizo nyimbo umetaja zimebamba sana zina ujumbe muhimu kwenye maisha, Tumsapoti dada yetu tuache majungu.
 
Nyimbo zote hutungwa kwa sababu. Mtu anaweza kutunga nyimbo akiwa amefurahi, amehuzunika, nyimbo za kampeni, nyimbo za msiba, nyimbo za arusi, nyimbo za kuachwa, n.k. Kwa hiyo ikiwa huyo dada Jay Dee anatunga kila anapoachwa bado kimuziki yuko sahihi. Au mtoa mada amewahi kusikia wimbo ambao ni 'neutral' yaani hauna sababu yoyote?:suspicious:
 
ni kazi yake ni fani yake pia
linapotokea analiweka kwenye kumbukumbu

hivi yahaya ni nani mchomvuuuuuuusss na mwanafaaaaaaa
 
Kachukue buku tisa

"To know the enemy is half the victory"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…