GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili Kariakoo muda huu kwa ajili ya kujionea hali halisi ya zoezi zima la uokoaji ambao unaendelea na kuzungumza na wananchi wa Kariakoo.
Chanzo: manaratv
Angerejea kutoka Ziarani Brazil Siku ile ile ya Tukio ndiyo ningeona ana Uchungu ila kamaliza Kula Bata ndiyo karejea.
Chanzo: manaratv
Angerejea kutoka Ziarani Brazil Siku ile ile ya Tukio ndiyo ningeona ana Uchungu ila kamaliza Kula Bata ndiyo karejea.