Ni Maumivu for sure nimeamini serikali haina uchungu na kifo Cha raia yeyote watakao umia ni wale pekee ambao Ulio kua una share nao affection wanao kupenda ni Hawa tunao SHINDA nao piga story now kula nao, hata hao jw, police,uhamiaji,zimamoto hawana uchungu na hili janga zaidi ya Wana kariakoo wenyewe.