Akifika kileleni huning'ata nini dawa yake?

Akifika kileleni huning'ata nini dawa yake?

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
680
Nina mpenzi wangu ananipenda sana kwa dhati, pindi tuwapo faragha tukianza tu ugonjwa wake nikuning'ata hakawii kufika kileleni.

Ananishangaza jinsi hunibana hadi kukosa pumzi, na nikikaa vibaya huning'ata kanisababishia makovu mwilini.

Hadi ikifika kuwaza kwenda kwenye shughuli naogopa kung'atwa hii inachangiwa na nini na je kuna dawa ya kuweza kumpa aache hii tabia?
 
una muda gani nae, na una makovu mangapi?
 
Back
Top Bottom