Nurryclassic
Member
- Jan 19, 2016
- 10
- 5
Sawa Mkuu... Yote Tisa, 10 tutaona ipi itakua SMASH HIT, by the way Diamond akipata, Kiba akipata hazinamanufaa kwangu... As the matter of fact Mimi siko Team yeyote Kati ya hao.. Kazi kwako Timu Kiba.. Nyinyi endelee kuangalia hiyo Lupelo bus coach CCTV na wao waangalie Trace, MTV, bet na Mwisho wa siku itafahamika who is the super star.. Siku zote Nyekundu itabaki Kua Nyekundu tu mpaka siku ziwa Victoria linakauka.Huu ni mtazamo wako au ulienda kusomea kuhusu video na audio nzuri? Au ni suala la HD lakuchanganya? Au ni suala la mtanzania wa kwanza kufanya video yenye bank robbery?
Video ya Diamond na AKA ina ladha yake na maidhui yake yako tofauti na lupela ya Kiba, ya ina ladha fulani nayo na video imebeba maana ya wimbo, simple and clear!
Inasikitisha na kwenye muziki wa tz sasa hivi kuna lile kundi maarufu la nyumbu.
Imeniuma sana kuniweka katika Kundi la Nyumbu... Am coming after you bro.. Get already...Huu ni mtazamo wako au ulienda kusomea kuhusu video na audio nzuri? Au ni suala la HD lakuchanganya? Au ni suala la mtanzania wa kwanza kufanya video yenye bank robbery?
Video ya Diamond na AKA ina ladha yake na maidhui yake yako tofauti na lupela ya Kiba, ya ina ladha fulani nayo na video imebeba maana ya wimbo, simple and clear!
Inasikitisha na kwenye muziki wa tz sasa hivi kuna lile kundi maarufu la nyumbu.
Hii track ya A.K.A amemshirikisha DiamondHii track ya Diamond ni ya kawaida na sijaona impact ya kumshirikisha AKA while ameimba badala ya Kurap.Sometimes kufanya collabo inabidi uangalie msanii ambaye mta-match nae.Mfano
Diamond +Davido
Diamond +Flava
JMakini +AKA
My point combination ya Diamond na AKA haijawa nzuriHii track ya A.K.A amemshirikisha Diamond
sijui ni mimi tu peke yangu ambae cjakuelewa!Kuna tofauti ndogo kati ya mashabiki wa Diamond hapa JF na mashabiki wa Wema Sepetu Instagram,kuthibitisha ninayosema nenda kwenye special thread ya Make me Sing haaa haaa sisi ambao ni mashabiki watazamaji tu tunaishia kucheka aseeeee.
Ili nijue kweli unajua unachoongea niambie unaweza kupimaje kubebwa kwa Diamond kwenye huo wimbo. vigezo na masharti vizingatiwe.Ushabiki viazi. Diamond kabebwa na AKA kwenye huo wimbo na video pia kuweni wa kweli.
Lakini Tafadhali usifananishe Video ya Kiba na Diamond!
Diamond na Kiba hawatakiwi kufananishwa wala kupambanishwa.
nimeitoa.. was mistake..Nimeshindwa kukuelewa, hasa hiyo alama ya kiulizo.
Unaweza usijue kilichoimbwa lkn ukaielewa mdundo na mpangilio wa sauti barabara, taratibuuu utajikuta unaanza kuchezesha mguu mara kichwa na nyimbo ikaingia kumoyo, asikwambie mtu mziki issue nyingine. Unakumbuka ule wimbo wa mama sita senorita watu tunabanjuka tu lkn kispanish sijui kinini hatukijuiTatizo ushabiki maandazi tu wengine ikibadilishwa verse kidogo tu ikawa kiingereza hta maana yke hawajui ila ndio watashabikia verse tamu kumbe hta kilichoimbwa ukiwauliza hawajui
Diamond ni make me singTatizo ushabiki maandazi mwingi na ile timu timu isiyokuwa na maana..."always am support the good music alive" kukosolewa kwa mwanadamu ni kawaida chukua makosa kayafanyie kazi...mbona kiba wamemkosoa sana huyo diamond ni nani mpaka asikosolewe.