Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Nitasogea karibu ili usikie nikiombaOmbeni ila muwe tayar kuombwa pia😂
Yah.. right thereDid you mean the one which is located in between thigs just below her groin??!
Payments after service.Huwa wakiomba hela wanakuwa wako mbali..hata akikupa utakulaje?
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Huwa hamuupendi ukweli,na hamjui kuwa hamuupendi. Mtu akitaka kukuchezea unaweza kataa,ila akija na ahadi kemkem za future utakubali....unakubali uongo na kukataa ukweli.Naanza kuamini inawezekana mie sio wa kike manake napenda ukweli kuliko kitu chochote
Mtu akinidanganya na nikaja kujua huwa najiona bwege kinyama
Mwanamke umwambie ukweli?Bwana wee nambie tu ukweli niamue tutakulana ama vipi mambo ya kunidanganya hapana.
Ngoja nikuombe basi binti mlokoleOmbeni ila muwe tayar kuombwa pia😂
Sema wewe....hapa wanajidai wanataka ukweli. Ila ukisema ukweli tuu ujue mbususu huoewi ng'oooMwanamke umwambie ukweli?
Ndio..niambie ukweli.Mwanamke umwambie ukweli?
Bila uongo nyinyi hamkamatikiNa nakimbia Sana hata awe amenipa nn but uongo hunikimbiza
SO unasema wewe ni banker🤣Bila uongo nyinyi hamkamatiki
Unataka niseme mimi fundi umeme au askari unikimbie
Ndo manake[emoji4]It's time that both sides have to benefit from each other maana pesa zinatafutwa so if she ask for money ask her for a thing that is located between her legs.
Nop nipo traSO unasema wewe ni banker[emoji1787]
🤣🤣Mnatunyosha kweliNop nipo tra
Wewe ni bwege tu Tena bwege haswaNaanza kuamini inawezekana mie sio wa kike manake napenda ukweli kuliko kitu chochote
Mtu akinidanganya na nikaja kujua huwa najiona bwege kinyama
Na hapa umedanganya tenaMimi ni mwanamke ila nipo tofauti napenda niambiwe ukweli niamue mwenyewe.
Na kama anataka kuingia ndani ya 18 zangu na sipendi namwambia ukweli faili nalifunga hawezi Tena nifata fataBila uongo nyinyi hamkamatiki
Unataka niseme mimi fundi umeme au askari unikimbie