Mzee Mapenzi
Senior Member
- Jan 9, 2019
- 122
- 439
Ni siku tatu sasa tumemaliza mazishi ya watu wawili; Mwanamke na Mwanaume na wote walikufa siku moja kwa tofauti ya masaa tu.
Maneno mengi yalisemwa ila kubwa na lililoteka hisia za wengi ni hili....
Mwanamke aliekufa ni mke wa mtu na mwanaume aliekufa alikuwa ni mseja yani kamtaliki mkewe hivyo akawa na mahusiano na mke wa mwenzake.
Mwenye mke alijua mahusiano yao, akamuonya mkewe ila mwanamke hakusikia.
Mwenye mke akaona ni vyema amfuate mume mwenzie na kumuonya ila mwanaume akampiga mwenye mke na kwa nguvu ya pesa akamweka kolokoloni.
Kesi ikakosa nguvu jamaa akatoka na kukuta bado mkewe analiwa kama kawaida.
Hakuwabugudhi akawaacha.
Mwenye mke nae alikuwa na marafiki wenye magari, Jumatano akaazima gari la best yake na alipewa.
Hakuna aliejua lengo ni nini.
Mkewe nae akaaga nyumbani, akapakiwa kwenye gari la mchepuko na kwenda lodge kisha mchepuko akaita dereva na kurudisha gari yeye akabaki na pikipiki aliokuja nayo dereva wake,wakapigana miti tani yao, jioni wakapakiana kwenye pikipiki na kuanza kurudi walipofika maeneo ya 4way(Dodoma),wakapata ajali ya kugongwa na gari vibaya sana yani mke na mchepuko wake.
Mchepuko alikufa palepale na mwanamke alifia njiani akipelekwa hospital ya mkoa(Genero).
Aliegonga ndie mwenye mke akiwa na gari la kuazima.
Sasa mjuavyo kesi ya kugonga na kuua ni kama hamna kesi hivi(madereva wanafahamu).
Tumezika huku mabaharia tukiwa tumepata funzo kubwa sana.
Usijifariji kwamba maziwa unayo geto, vidosho ni wengi anaegarimikia mke muache na mkewe
Maneno mengi yalisemwa ila kubwa na lililoteka hisia za wengi ni hili....
Mwanamke aliekufa ni mke wa mtu na mwanaume aliekufa alikuwa ni mseja yani kamtaliki mkewe hivyo akawa na mahusiano na mke wa mwenzake.
Mwenye mke alijua mahusiano yao, akamuonya mkewe ila mwanamke hakusikia.
Mwenye mke akaona ni vyema amfuate mume mwenzie na kumuonya ila mwanaume akampiga mwenye mke na kwa nguvu ya pesa akamweka kolokoloni.
Kesi ikakosa nguvu jamaa akatoka na kukuta bado mkewe analiwa kama kawaida.
Hakuwabugudhi akawaacha.
Mwenye mke nae alikuwa na marafiki wenye magari, Jumatano akaazima gari la best yake na alipewa.
Hakuna aliejua lengo ni nini.
Mkewe nae akaaga nyumbani, akapakiwa kwenye gari la mchepuko na kwenda lodge kisha mchepuko akaita dereva na kurudisha gari yeye akabaki na pikipiki aliokuja nayo dereva wake,wakapigana miti tani yao, jioni wakapakiana kwenye pikipiki na kuanza kurudi walipofika maeneo ya 4way(Dodoma),wakapata ajali ya kugongwa na gari vibaya sana yani mke na mchepuko wake.
Mchepuko alikufa palepale na mwanamke alifia njiani akipelekwa hospital ya mkoa(Genero).
Aliegonga ndie mwenye mke akiwa na gari la kuazima.
Sasa mjuavyo kesi ya kugonga na kuua ni kama hamna kesi hivi(madereva wanafahamu).
Tumezika huku mabaharia tukiwa tumepata funzo kubwa sana.
Usijifariji kwamba maziwa unayo geto, vidosho ni wengi anaegarimikia mke muache na mkewe