Akikuonya uachane na mkewe, acha usilazimishe yasikukute kama haya

Akikuonya uachane na mkewe, acha usilazimishe yasikukute kama haya

Mzee Mapenzi

Senior Member
Joined
Jan 9, 2019
Posts
122
Reaction score
439
Ni siku tatu sasa tumemaliza mazishi ya watu wawili; Mwanamke na Mwanaume na wote walikufa siku moja kwa tofauti ya masaa tu.

Maneno mengi yalisemwa ila kubwa na lililoteka hisia za wengi ni hili....

Mwanamke aliekufa ni mke wa mtu na mwanaume aliekufa alikuwa ni mseja yani kamtaliki mkewe hivyo akawa na mahusiano na mke wa mwenzake.

Mwenye mke alijua mahusiano yao, akamuonya mkewe ila mwanamke hakusikia.

Mwenye mke akaona ni vyema amfuate mume mwenzie na kumuonya ila mwanaume akampiga mwenye mke na kwa nguvu ya pesa akamweka kolokoloni.

Kesi ikakosa nguvu jamaa akatoka na kukuta bado mkewe analiwa kama kawaida.

Hakuwabugudhi akawaacha.

Mwenye mke nae alikuwa na marafiki wenye magari, Jumatano akaazima gari la best yake na alipewa.

Hakuna aliejua lengo ni nini.

Mkewe nae akaaga nyumbani, akapakiwa kwenye gari la mchepuko na kwenda lodge kisha mchepuko akaita dereva na kurudisha gari yeye akabaki na pikipiki aliokuja nayo dereva wake,wakapigana miti tani yao, jioni wakapakiana kwenye pikipiki na kuanza kurudi walipofika maeneo ya 4way(Dodoma),wakapata ajali ya kugongwa na gari vibaya sana yani mke na mchepuko wake.

Mchepuko alikufa palepale na mwanamke alifia njiani akipelekwa hospital ya mkoa(Genero).

Aliegonga ndie mwenye mke akiwa na gari la kuazima.

Sasa mjuavyo kesi ya kugonga na kuua ni kama hamna kesi hivi(madereva wanafahamu).

Tumezika huku mabaharia tukiwa tumepata funzo kubwa sana.

Usijifariji kwamba maziwa unayo geto, vidosho ni wengi anaegarimikia mke muache na mkewe
 
Wanaume kama huyo jamaa nawaonaga wapumbavu sana yaani.
Mke anauma lakini haujazaliwa nae tumbo moja.

Hivi hawajiulizi kwa nini wale tuliozaliwa nao tumbo moja ni haramu kuwaoa?
Kwa sababu ukimuoa dada yako ama shangazi yako alafu ukahisi kuna mtu anakuchukulia,wivu unakuwa spidi kali sana.

Tunawaoa wasiokuwa wa damu moja kwa moja yaanintunawaoa wale ambao damu hazijaingiliana sana kuepusha wivu wa kipumbavu kama huu wa kuua,mtu umekutana nae tu ukubwani unamuoa alafu unajifanya una wivu sana mpaka una muua ina maana wakati wote alikuwa anaishi kwa ajili yako mpaka sasa uone hafai kuishi?

Na kama mke ndio chanzo cha furaha yako ina maana unapomuua huoni kwamba utakosa furaha milele kwa kumuua?
Sasa ukishamuua nani atakupa furaha bali ndo utazidu huzuni ya kukosa furaha na huzuni ya kuua furaha yako.

Akikusaliti na ulishamuonya sana basi jua hakutaki,unachotakiwa kumhukumu ni kumwbia aendee kwa anayemchepukia.huo ndo uamuzi wa kiume japo utaumia lakini maumivu yana karibisha amani mbeleni.

Jamaa mpuuzi sana yani ila sawa.

Jamaa bwege sana yani kajipatia dhambi ya bure kwa jambo la kijinga sana.

Wanaume wenzanguu eee
"dont make a parmanent decision over a temporary circumstance"

N:B. Mke anauma
 
Wanaume kama huyo jamaa nawaonaga wapumbavu sana yaani.
Mke anauma lakini haujazaliwa nae tumbo moja.

Hivi hawajiulizi kwa nini wale tuliozaliwa nao tumbo moja ni haramu kuwaoa?
Kwa sababu ukimuoa dada yako ama shangazi yako alafu ukahisi kuna mtu anakuchukulia,wivu unakuwa spidi kali sana.

Tunawaoa wasiokuwa wa damu moja kwa moja yaanintunawaoa wale ambao damu hazijaingiliana sana kuepusha wivu wa kipumbavu kama huu wa kuua,mtu umekutana nae tu ukubwani unamuoa alafu unajifanya una wivu sana mpaka una muua ina maana wakati wote alikuwa anaishi kwa ajili yako mpaka sasa uone hafai kuishi?

Akikusaliti na ulishamuonya sana basi jua hakutaki,unachotakiwa kumhukumu ni kumwbia aendee kwa anayemchepukia.huo ndo uamuzi wa kiume japo utaumia lakini maumivu yana karibisha amani mbeleni.

Jamaa mpuuzi sana yani ila sawa.

Jamaa bwege sana yani kajipatia dhambi ya bure kwa jambo la kijinga sana.



Wanaume wenzanguu eee
"dont make a parmanent decision over a temporary circumstance"

N:B. Mke anauma
Yote ni sawa ila wengi wanakwama kwa sababu huwa wanategemea mabadiliko.

Lakini pia nadhani hakupenda kuadhibiwa kisa hana hela, yawezekana alitaka kuwaonya kisha amtaliki mkewe kama asingebadilika, ila nadhani maamuzi haya yamechagizwa na kupelekwa kolokoloni bila kosa bado jamaa anakula tu.

Huwa inauma sana inahitaji utulivu wa ziada kuepuka shari
 
Wanaume kama huyo jamaa nawaonaga wapumbavu sana yaani.
Mke anauma lakini haujazaliwa nae tumbo moja.

Hivi hawajiulizi kwa nini wale tuliozaliwa nao tumbo moja ni haramu kuwaoa?
Kwa sababu ukimuoa dada yako ama shangazi yako alafu ukahisi kuna mtu anakuchukulia,wivu unakuwa spidi kali sana.

Tunawaoa wasiokuwa wa damu moja kwa moja yaanintunawaoa wale ambao damu hazijaingiliana sana kuepusha wivu wa kipumbavu kama huu wa kuua,mtu umekutana nae tu ukubwani unamuoa alafu unajifanya una wivu sana mpaka una muua ina maana wakati wote alikuwa anaishi kwa ajili yako mpaka sasa uone hafai kuishi?

Akikusaliti na ulishamuonya sana basi jua hakutaki,unachotakiwa kumhukumu ni kumwbia aendee kwa anayemchepukia.huo ndo uamuzi wa kiume japo utaumia lakini maumivu yana karibisha amani mbeleni.

Jamaa mpuuzi sana yani ila sawa.

Jamaa bwege sana yani kajipatia dhambi ya bure kwa jambo la kijinga sana.



Wanaume wenzanguu eee
"dont make a parmanent decision over a temporary circumstance"

N:B. Mke anauma
Mkuu huenda hujaoa

NB: sory lakini.
 
Wanaume kama huyo jamaa nawaonaga wapumbavu sana yaani.
Mke anauma lakini haujazaliwa nae tumbo moja.

Hivi hawajiulizi kwa nini wale tuliozaliwa nao tumbo moja ni haramu kuwaoa?
Kwa sababu ukimuoa dada yako ama shangazi yako alafu ukahisi kuna mtu anakuchukulia,wivu unakuwa spidi kali sana.

Tunawaoa wasiokuwa wa damu moja kwa moja yaanintunawaoa wale ambao damu hazijaingiliana sana kuepusha wivu wa kipumbavu kama huu wa kuua,mtu umekutana nae tu ukubwani unamuoa alafu unajifanya una wivu sana mpaka una muua ina maana wakati wote alikuwa anaishi kwa ajili yako mpaka sasa uone hafai kuishi?

Akikusaliti na ulishamuonya sana basi jua hakutaki,unachotakiwa kumhukumu ni kumwbia aendee kwa anayemchepukia.huo ndo uamuzi wa kiume japo utaumia lakini maumivu yana karibisha amani mbeleni.

Jamaa mpuuzi sana yani ila sawa.

Jamaa bwege sana yani kajipatia dhambi ya bure kwa jambo la kijinga sana.



Wanaume wenzanguu eee
"dont make a parmanent decision over a temporary circumstance"

N:B. Mke anauma

Wewe unaonekana ni mchepukaji tu kama huyo aliyeuliwa (ndege wafananao huruka pamoja).Nasema hivi, mwenye mke yupo sahihi,tena ilipasa aondoke kabisa na mizoga yao akapike nyama.

NA WEWE ENDELEA KUCHEPUKA NA WAKE ZA WATU,DAWA YAKO IPO JIKONI INACHEMKA.
 
Mkuu huenda hujaoa

NB: sory lakini.
Nimeoa mkuu lakini mke wangu akichepuka siwezi kufanya huo ujinga hata siku moja.

Mtu umeshamuacha tayari alafu unaendelea kumfaatilia mkuu?
Kama huyo mke alikuwa anabakwa sawa lakini kama anafanya kwa ridhaa yake naona jamaa alipanick sana
 
Wewe unaonekana ni mchepukaji tu kama huyo aliyeuliwa (ndege wafananao huruka pamoja).Nasema hivi, mwenye mke yupo sahihi,tena ilipasa aondoke kabisa na mizoga yao akapike nyama.NA WEWE ENDELEA KUCHEPUKA NA WAKE ZA WATU,DAWA YAKO IPO JIKONI INACHEMKA.
Sawaa mkuu
 
Wanaume kama huyo jamaa nawaonaga wapumbavu sana yaani.
Mke anauma lakini haujazaliwa nae tumbo moja.

Hivi hawajiulizi kwa nini wale tuliozaliwa nao tumbo moja ni haramu kuwaoa?
Kwa sababu ukimuoa dada yako ama shangazi yako alafu ukahisi kuna mtu anakuchukulia,wivu unakuwa spidi kali sana.

Tunawaoa wasiokuwa wa damu moja kwa moja yaanintunawaoa wale ambao damu hazijaingiliana sana kuepusha wivu wa kipumbavu kama huu wa kuua,mtu umekutana nae tu ukubwani unamuoa alafu unajifanya una wivu sana mpaka una muua ina maana wakati wote alikuwa anaishi kwa ajili yako mpaka sasa uone hafai kuishi?

Akikusaliti na ulishamuonya sana basi jua hakutaki,unachotakiwa kumhukumu ni kumwbia aendee kwa anayemchepukia.huo ndo uamuzi wa kiume japo utaumia lakini maumivu yana karibisha amani mbeleni.

Jamaa mpuuzi sana yani ila sawa.

Jamaa bwege sana yani kajipatia dhambi ya bure kwa jambo la kijinga sana.



Wanaume wenzanguu eee
"dont make a parmanent decision over a temporary circumstance"

N:B. Mke anauma
Oa kwanza ili ujue nini kinapelekea hayo maamuzi. Tena nakusihi Oa mwanamke ambae uko responsible nae 100% na unampenda kiasi kwamba kumsaliti huwezi ama unamtunzia heshima kuliko kitu chochote kwa namna unavyompenda na kumthamini. Trust her by 100%

Waliooa malaya wenzao hawawezi kuelewa chochote zaido ya kumuona jamaa kituko.
 
Wewe unasema kwa namna unavyompenda na kumuamini 100%,sasa mtu unajua anatoka na fulani huo uaminifu unabaki pale pale 100% ? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Huyo mwanaume ni mpuuzi sana.yani mtu anachepuka wewe bado unamuamini tena kwa 100% ile ile tuu?

Hivi mwanamke analazimishwa kuchepuka au ana fanya kwa hiari yake mwenyewe tu na kukuona wewe huna maana?
Oa kwanza ili ujue nini kinapelekea hayo maamuzi. Tena nakusihi Oa mwanamke ambae uko responsible nae 100% na unampenda kiasi kwamba kumsaliti huwezi ama unamtunzia heshima kuliko kitu chochote kwa namna unavyompenda na kumthamini. Trust her by 100%

Waliooa malaya wenzao hawawezi kuelewa chochote zaido ya kumuona jamaa kituko.
 
Stori yako sio ya kweli ni ya kutunga. Huwezi kuwagonga watu kwa makusudi na ikawa trafiki kesi. Kuua kwa kukusudia kutabaki kuwa kosa la mauaji hata kama ametumia gari au bunduki
Sasa ww hapo kipi si cha kweli stori au kesi?
Walikuja kupima ajali ni trafiki, na kesi ni ajali wala sio mauaji na sheria zinafuatwa kulingana na tukio lilivyo.

Hiyo umesema wewe kwamba kaua kwa kukusudia ila sheria haimuoni kama ni muuaji kwa sababu waliogongwa walikuwa kwenye chombo cha moto.

Hivyo nimeandika nikiwa najua nilichoandika ndugu, sheria haipo kwa mawazo binafsi. Na hata dhamana alipewa na anasubiri kulipa faini mahakamani.

Afu nikwambie kitu kwenye masuala ya ndoa sheria ipo wazi kabisa yani hata kama angeua kwa mkono, kwa sababu kaua wote kesi huwa ni ndogo mana inachuliwa aliua bila kukusudia ila aliendeshwa na hasira, lakini akiua mmoja akaacha mmoja inachukuliwa aliua kwa kukusudia (endapo aliwakuta yani aliwafumania) ila akifanya kwa kuwakuta mtaani sheria inamtambua kama muuaji kama wauaji wengine.

Wewe ndo unataka kupindisha sheria kwa mawazo binafsi
 
Back
Top Bottom