Tungekuwa na uwezo wa kuhavest knowledge basi sehemu sahihi ni graveyard( burial ground= makaburini) ambapo watu wamezikwa na mawazo yao sahihi lakini hawakuyaweka into action..
Jamaa katoa somo zuri sana..
Tatizo mind zetu zishakuwa controlled na hao ndugu zetu,tumebaki kufauta kile wanachotaka.
Sent using
Nokia 8 Plus