babake nasreen
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 703
- 491
Mimi nadhani kila nchi kuna "normal distribution" kulingana na akili na muono wa watu. hii ipo tu hata kama watu wamekwenda shule ama vipi. maana hata hao wanaokwenda shule japo hawawezi kutoa kauli kama hizo, pia hawana tofauti sana na huyo jamaa. mfano huwa tunamshangaa sana chifu Mangungu kwa "kutapeliwa na Carl Peters", kisingizio ni kwamba Chifu Mangungu hakujua kusoma na kuandika. lakini mbona leo kuna wasomi ambao hata Chifu Mangungu haoni ndani? kwa hiyo tatizo siyo tu kwa vyaama vya upinzani.View attachment 392469
(1.)Hivi kitendo cha mtu mzima kusema anamshukuru rais Magufuri kwa kuweza kuchagua mkoa wa MBEYA kuwa SEHEMU YA KUPATWA KWA JUA halina uhusiano na akili za watanzania wengi ambao wanadhani Nyerere bado yupo hai?
(2.) Je,hilo halihusiani na CCM kujipatia kura nyingi huko vijijini kutokana na uelewa wa watu hao?
YANI NAJARIBU KUWAZA KAZI KUBWA WALIYONAYO VYAMA VYA UPINZANI NCHI HII...
Haha aise hili nalo lina ukweli....Mimi nadhani kila nchi kuna "normal distribution" kulingana na akili na muono wa watu. hii ipo tu hata kama watu wamekwenda shule ama vipi. maana hata hao wanaokwenda shule japo hawawezi kutoa kauli kama hizo, pia hawana tofauti sana na huyo jamaa. mfano huwa tunamshangaa sana chifu Mangungu kwa "kutapeliwa na Carl Peters", kisingizio ni kwamba Chifu Mangungu hakujua kusoma na kuandika. lakini mbona leo kuna wasomi ambao hata Chifu Mangungu haoni ndani? kwa hiyo tatizo siyo tu kwa vyaama vya upinzani.
Na siku zote ukichaguliwa usidhani ww ni bora sana kuliko mwingine lah hasha, inawezekana una afadhali kidogo kuliko mwenzako hasa pale inapotokea wagombea wote ni hovyo.........Nenda kule Marekani ukawahoji hillbillies wa Alabama kuhusu kupatwa kwa jua uone utapata jibu gani. Usichukue ujinga wa mtu mmoja na ku generalize mambo na katika siasa ni MARUFUKU kulaumu wapiga kura!
Siku kukiwa na wapinzani wa kweli, wenye msimamo, wasiobadili gia angani, wasio wapiga madili, wazalendo na wakaeleza sera zao kwa wapiga kura mpaka wakaeleweka utashangaa. Wananchi hawa hawa mnaowaita wajinga watawapa madaraka.
Narudia tena: NI MARUFUKU KATIKA SIASA KUITA WAPIGA KURA ETI WAJINGA KWA VILE TU HAWAJACHAGUA CHAMA CHAKO!
Hawa wapinzani wanapiga dili gani mkuu?Nenda kule Marekani ukawahoji hillbillies wa Alabama kuhusu kupatwa kwa jua uone utapata jibu gani. Usichukue ujinga wa mtu mmoja na ku generalize mambo na katika siasa ni MARUFUKU kulaumu wapiga kura!
Siku kukiwa na wapinzani wa kweli, wenye msimamo, wasiobadili gia angani, wasio wapiga madili, wazalendo na wakaeleza sera zao kwa wapiga kura mpaka wakaeleweka utashangaa. Wananchi hawa hawa mnaowaita wajinga watawapa madaraka.
Narudia tena: NI MARUFUKU KATIKA SIASA KUITA WAPIGA KURA ETI WAJINGA KWA VILE TU HAWAJACHAGUA CHAMA CHAKO!
Aiseee hatariCCM wanahusika
Wagombea wengi ni hovyo enheeNa siku zote ukichaguliwa usidhani ww ni bora sana kuliko mwingine lah hasha, inawezekana una afadhali kidogo kuliko mwenzako hasa pale inapotokea wagombea wote ni hovyo.........
Mkuu, wewe hujui kuwa kauni hizo zote ni zao, na kupatwa kwa jua ni lao, na watu wTZ ni wao na wapiga kura wote ni wao na mikoa yote ni yao....!! Sasa yanini kuumiza kichwa chako?!!!?Aiseee hatari
Hahaha[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Mkuu, wewe hujui kuwa kauni hizo zote ni zao, na kupatwa kwa jua ni lao, na watu wTZ ni wao na wapiga kura wote ni wao na mikoa yote ni yao....!! Sasa yanini kuumiza kichwa chako?!!!?
Ndiyo maana tukaaswa kuwa kamwe usiupime ubora wa afya yako kwa kujilinganisha na mgonjwa!Na siku zote ukichaguliwa usidhani ww ni bora sana kuliko mwingine lah hasha, inawezekana una afadhali kidogo kuliko mwenzako hasa pale inapotokea wagombea wote ni hovyo.........
Ni kweli mkuu. Kulaumu ujinga wa wapiga kura ni mojawapo ya kisingizio cha kijinga kabisa kuhalalisha kushindwa. Badala ya kufanya upembuzi yakinifu na kugundua sababu halisi pamoja na kubuni mikakati ya kushinda next round mtu anaishia kusema eti ujinga wa wapiga kura. Weka mikakati ili next time hawa wapiga kura "wajinga" wawe upande wako. Ndiyo siasa !Ushindi haukutokana na ujinnnga wa watanzania. Walipima vya kutosha nani kati ya waliokuwepo alikuwa na sifa za kukabidhiwa uongozi wa taifa.
Mimi nadhani kila nchi kuna "normal distribution" kulingana na akili na muono wa watu. hii ipo tu hata kama watu wamekwenda shule ama vipi. maana hata hao wanaokwenda shule japo hawawezi kutoa kauli kama hizo, pia hawana tofauti sana na huyo jamaa. mfano huwa tunamshangaa sana chifu Mangungu kwa "kutapeliwa na Carl Peters", kisingizio ni kwamba Chifu Mangungu hakujua kusoma na kuandika. lakini mbona leo kuna wasomi ambao hata Chifu Mangungu haoni ndani? kwa hiyo tatizo siyo tu kwa vyaama vya upinzani.