AKILI TU NDIO IMETUMIKA:kwakuwa HESLB ILIKUWA NDIO TALKING POINT,NOW JKT WAMEKUJA KU TAKEOVER.

Grevic Jos

Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
57
Reaction score
2
hivi nyïe na uwezo wote wa kufïkiri na kuchambua.
Je inawezekana kweli wanafunzi waliokwisha kwenda JKT WARUDI TENA WAKATI KUNA WENGINE HAWAJAENDA NA MAJINA YAO HAYAJAWEKWA.TAFAKARI KWA KINA.......Hawakukusudia !! Nahisi walitaka tu kuwarusha R0ho tu watu!then wao wawe ndio talking point...HABARI YA MJINI.XA
 
upeo wako wa kufikiri ni mkubwa sana hongera sana kijana.

Umelitambua hilo kaka!na bado kuna mengi zaidi ya kujiuliza sisi binafsi hata kabla ya kuanza kuhoji hoji na ku panic...!ivi watoe tangazo siku mbili kabla ya utekelezaji wake??alafu mbona halina msisitizo kama jinsi walivyoyatangaza yale majina ya awamu ya 2? We have to think twice wadau...!007 Quantum of Solace.hii wanayœtuchezea ni muvi ya akili kama za James Bond.ukipanic tu,UMELIWA!
 
haya yote ni hitimisho la kauli ya hayati Mwl Nyerere J.K, kwa vitendo dhahiri. Tar 12-05-1995 pale makambako alisema "bila CCM madhubuti Tanzania itayumba" myumbo wa hii nchi yangu umesababishwa na uongozi mbaya usiozingatia ethics za kiutumishi, ndo maana kila mtu anafanya anachotaka na kutuumiza wananchi, hata uongozi kutokuwa na kauli moja ktk wizara 2 zisizohusiana (elimu na ulinzi) kufanya maamuzi kwa mtu mmoja(mwanafunz)ni kuyumba.
Tuacheni tuamue wenyewe, mbona tunapoomba nafac za kaz jkt tunashuhudia urasimu? leo tuna umuhimu sana?, mbona kitaa kuna wana kibao hawana la kushika hamuwatazami,
Adui mkubwa wa mwanadamu ni UJINGA, sio kutokuwa mkakamavu.

Falsafa ya Plato izingatiwe, goldenerz, silverz na jkt the ironers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…