Akili ya mwanamke wa kisasa anapoanza kuingia kwenye mahusiano kwa mara ya kwanza katika umri kati ya 16 years hadi 26 years haijapishana sana na akili ya mhitimu wa masomo ya chuo a.k.a graduate ambaye ametoka chuo na akili isiyojua dunia na ulimwengu wa ajira unataka nini kutoka kwake.
Graduates wengi siku chache kabla hawajahitimu vyuo huwa wanajiona ni kama product very expensive kwenye market na wanahitajika sana na huamini wale waliowatangulia kuhitimu ambao wapo kitaa wakisugua gaga, wakimaliza sori za viatu kwa kutembeza bahasha wana uzembe mwingi na hawajitambui na wamekosa uwezo wa kujiongeza na mbinu za kupata ajira za mishahara ya juu.
Hawa Graduates kipindi wanapokuwa mwaka wa kwanza,wa pili hadi watatu chuoni huwa wanajithaminisha sawa sawa na CEO wa kampuni fulani huku uraiani ambae analipwa milioni 10 kwa mwezi. So wao huamini akisoma kwa bidii na kudecorate cheti chake na A+ za kutosha pamoja na GPA ya 4.5 basi ataota mbawa za ushindi na atawapita waliomtangulia na ataenda straight kwenye top management na kupewa benefits zote kama gari, nyumba, ofisi nzuri, na mshahara mnono. Kwa kifupi anaamini anapotoka chuo basi makampuni yanatafuta mtu kama yeye na hawa aliowakuta wamekosa nyota kama yake.
Je hii ni kweli kwa wale ambao mlitoka vyuoni na mkafaulu vizuri? [emoji848]
Nadhani jibu mnalo kuwa katika graduates elfu moja wenye hilo zali hawafiki watano na hao watano ni wale wenye connection za maana za kupambaniwa. Wanaobakia wanakuja kuufahamu ukweli wa mambo baada ya kusota.
Hii imepishana padogo sana na mabinti/wanawake wanaopevuka na kuanza kunona na kuanza kupigiwa miluzi na kila mwanaume huko nje.
Wanawake wa kisasa akili zao huwaambia hays yafuatayo:
1. Yeye ni mzuri na wanaume wote wanataka kuwa na yeye kwa kifupi hakuna mwanamke anayemzidi kwa wakati huo ni swala la yeye kukutana na mwanaume atakae mtaka yeye sio mwanaume ataevutiwa nae. Same kwa graduate anaamini makampuni yanamhitaji sana yeye ni swala la kukutana na kampuni anayotaka yeye.
2. Bint anaeyaanza mahusiano huwa hawazi miaka 10 ijayo itamkutia wapi hivyo basi akili yake huwekeza kwenye status na sio future investment. Yuko tayari kuweka mwili wake rehani kwa wanaume za watu, wasanii, na wapemba wanaoojita waarabu, wahindi, wazungu, ili tu apate status ya kuonekana ni wa hadhi ya juu. Same kwa newly graduate, hawazi miaka kumi itamkutia katika hali gani, atakaa akiamini yeye ni wa hadhi ya kuajiriwa na makampuni makubwa kama Emirates, CRDB, Serena, hadhi yake haimruhusu kufanya kazi na vikampuni vidogo kama Jakaranda enterprises.
3. Target ya mwanamke wa kisasa Kwenye mahusiano ni kupata pesa nyingi ambazo hata hajui zinatoka wapi na analipwa kwa lipi yeye anachojua anastahili kupewa tu, wanamsemo wao wa kijinga utasikia "we nipe hela, me napenda hela sana" kama wagonjwa wa akili lakini muulize what do you bring in this relationship, na komwe lake atabakia ameduwaa kama kondoo anasubiria chakula. Same kwa graduates akipewa fursa ya interview na kampuni yeye interest yake ni kutaka kujua atapewa pesa kiasi gani na hapo hata hajajua anakwenda kuifanyia nini kampuni (why should we hire you) na akiulizwa ni kutumbua mimacho kama mwizi amekutwa store anadokoa mali.
4. Mwanamke wa kisasa anajitambulisha kama mwanamke wa hadhi na thamani ya juu sana above all ila sasa kaa nae chini muulize maswali ya msingi ujue kichwa chake kilivyo nazi. The same goes kwa graduate wana idea kwamba wao ni wa thamani sana kwasababu wanascore nzuri za vyeti, muulize sasa hadhi yako katika soko la ajira imelalia wapi, uone atakavyokutumbulia macho kama nguruwe.
5. Mabinti wa sasa hawapo tayari kwa majukumu yao ya msingi ya kike ambayo huitwa majukumu ya mke kama kutulia na mume, kutosaliti, kutii, kulea watoto, kufuata maamuzi ya mume, kuthamini pesa na muda wa mwanaume,etc ila wapo tayari kupokea benefits za mke kama kurithi mali, kutumiwa pesa, kushika pesa za mwanaume, kutoshare mwanaume, etc. Same kwa graduate hawapo tayari kujitoa kwanza na kuanzia chini na kampuni kufanya majukumu ya kampuni kuprove uwezo ila wapo tayari sana kupewa benefits za muwajiriwa za juu kama mshahara, marupurupu, usafiri etc bila kuzifanyia kazi.
6. Mabinti hutegemea external value kuaminisha wana internal quality. Binti atatia nguvu kuvaa vizuri, kupakaa make ups kushika simu ya bei, kuonyesha ana hang viwanja vya starehe vya bei ila ukweli ni kuwa tabia zero na hana hiyo thamani ya juu anayojiaminisha anayo same kwa graduates, atavaa suti au mavazi ya kicorporate makali, atafosi kupata uber sababu hana gari, atafosi kula sehemu za gharama but deep down ukimkagua hakuna thamani yoyote anayo maintain ni wa kawaida sana na anafosi life la standards ambazo hajafiki.
Umeandika ukweli ila tatizo lako ni ku-generalise, hatufanani mkuu mimi miaka mingi ila sijawahi kuwaza kuajiriwa na vyeti mpaka leo sijavofuata chuoni.
Wao huwa wanapima value kwa kuwa na ngozi nyororo, tako ndio maana vikipanda pikipiki vinajibidua utadhani amevunjika kiuno, na kugawa tigo. Hakuna la ziada.
Mwanaume kazi yake ya msingi katika jamii ni kuongoza na kuimarisha ustawi bora wa jamii. Ili hili liwezekane anahitaji msaidizi ambaye wataweza fanya majukumu ya kustawisha jamii bora.
Mwanamke ambaye ana qualify kuwa msaidizi wa mwanaume sifa yake kuu anayotakiwa kuonyesha kwa mwanaume ni utii kwa mambo positive na sio negative ya mwanaume wake.
Wanaume huwa wanauliza hili swali la what you bring to the table sio kwa maana kuwa kuna kitu wana expect kwa mwanamke alete kwenye table la hasha.
Hili swali limeanza kuulizwa kama challenge kwa wanawake wanaojilinganisha na wanaume katika mahusiano.
Ni sawa na mtoto wa kiume ambaye amebalehe kumwambia baba yake kuwa kwann yeye baba ndie anarudi nyumbani usiku, anawekewa chakula na anawapangia kila mtu utaratibu ndani ya nyumba ila yeye mtoto wa kiume akichelewa kurudi anafokewa, akichelewa chakula hawekewi kwenye vyombo vya pekee yake anakwenda kuchukulia jikoni kwenye masufulia,na anachotaka kifanyike hapo ndani kama kuamua nini kipikwe hasikilizwi?
Wadhani baba atamuuliza swali gani huyu mwanawe, atamuuliza, "wewe unaweka unalipia kitu gani hapa ndani?" Mimi baba yako nalipia kuanzia bills za umeme, maji, kodi, nauli, chakula,mavazi, taka, ulinzi, internet, king'amuzi, mitoko ya weekend,ada,kutuma hela kwa babu na bibi, kulipia matibabu na kuwapa pesa za matumizi yenu binafsi, wewe unaweka nini mezani?
Umeona sasa?
So kimsingi hili swali huwa haliulizwi kwasababu mwanaume kuna kitu anataka mwanamke atoe bali ni swali la mtego la kuwachemsha wanawake akili wajitathimini kuwa umuhimu wanaojipa haulingani na majukumu wanayobeba, wanataka kupewa heshima ya mwanaume ili hali hawafikii uwezo wa kubeba majukumu wa mwanaume hata kwa 5%. Wao huwa wanadhani majukumu ya mwanaume ni huishia na kulipa bills ila wanaona sasa familia za single mothers watoto wanakuwa na hali gani ingawa mama anahela na analipa kila kitu mwenyewe bila baba. So it goes beyond paying bills.
So finally, kukujibu, hakunaga kitu mwanaume ana expect mwanamke alete mezani, sababu vyote anavyotaka anavyo anachotaka yeye kama mwanaume ni mwanamke mwenye utii na ambaye anajua nafasi yake, yeye atakampa majukumu kulingana na aina ya maisha wanapanga kufanya. Ila dio kulingana na mwanamke anataka kufanya nini kwa mwanaume.
So basically a woman brings nothing to the table only good manners and good home trainings the rest mwanaume atamuelekeza.
Akili ya mwanamke wa kisasa anapoanza kuingia kwenye mahusiano kwa mara ya kwanza katika umri kati ya 16 years hadi 26 years haijapishana sana na akili ya mhitimu wa masomo ya chuo a.k.a graduate ambaye ametoka chuo na akili isiyojua dunia na ulimwengu wa ajira unataka nini kutoka kwake.
Graduates wengi siku chache kabla hawajahitimu vyuo huwa wanajiona ni kama product very expensive kwenye market na wanahitajika sana na huamini wale waliowatangulia kuhitimu ambao wapo kitaa wakisugua gaga, wakimaliza sori za viatu kwa kutembeza bahasha wana uzembe mwingi na hawajitambui na wamekosa uwezo wa kujiongeza na mbinu za kupata ajira za mishahara ya juu.
Hawa Graduates kipindi wanapokuwa mwaka wa kwanza,wa pili hadi watatu chuoni huwa wanajithaminisha sawa sawa na CEO wa kampuni fulani huku uraiani ambae analipwa milioni 10 kwa mwezi. So wao huamini akisoma kwa bidii na kudecorate cheti chake na A+ za kutosha pamoja na GPA ya 4.5 basi ataota mbawa za ushindi na atawapita waliomtangulia na ataenda straight kwenye top management na kupewa benefits zote kama gari, nyumba, ofisi nzuri, na mshahara mnono. Kwa kifupi anaamini anapotoka chuo basi makampuni yanatafuta mtu kama yeye na hawa aliowakuta wamekosa nyota kama yake.
Je hii ni kweli kwa wale ambao mlitoka vyuoni na mkafaulu vizuri? [emoji848]
Nadhani jibu mnalo kuwa katika graduates elfu moja wenye hilo zali hawafiki watano na hao watano ni wale wenye connection za maana za kupambaniwa. Wanaobakia wanakuja kuufahamu ukweli wa mambo baada ya kusota.
Hii imepishana padogo sana na mabinti/wanawake wanaopevuka na kuanza kunona na kuanza kupigiwa miluzi na kila mwanaume huko nje.
Wanawake wa kisasa akili zao huwaambia hays yafuatayo:
1. Yeye ni mzuri na wanaume wote wanataka kuwa na yeye kwa kifupi hakuna mwanamke anayemzidi kwa wakati huo ni swala la yeye kukutana na mwanaume atakae mtaka yeye sio mwanaume ataevutiwa nae. Same kwa graduate anaamini makampuni yanamhitaji sana yeye ni swala la kukutana na kampuni anayotaka yeye.
2. Bint anaeyaanza mahusiano huwa hawazi miaka 10 ijayo itamkutia wapi hivyo basi akili yake huwekeza kwenye status na sio future investment. Yuko tayari kuweka mwili wake rehani kwa wanaume za watu, wasanii, na wapemba wanaoojita waarabu, wahindi, wazungu, ili tu apate status ya kuonekana ni wa hadhi ya juu. Same kwa newly graduate, hawazi miaka kumi itamkutia katika hali gani, atakaa akiamini yeye ni wa hadhi ya kuajiriwa na makampuni makubwa kama Emirates, CRDB, Serena, hadhi yake haimruhusu kufanya kazi na vikampuni vidogo kama Jakaranda enterprises.
3. Target ya mwanamke wa kisasa Kwenye mahusiano ni kupata pesa nyingi ambazo hata hajui zinatoka wapi na analipwa kwa lipi yeye anachojua anastahili kupewa tu, wanamsemo wao wa kijinga utasikia "we nipe hela, me napenda hela sana" kama wagonjwa wa akili lakini muulize what do you bring in this relationship, na komwe lake atabakia ameduwaa kama kondoo anasubiria chakula. Same kwa graduates akipewa fursa ya interview na kampuni yeye interest yake ni kutaka kujua atapewa pesa kiasi gani na hapo hata hajajua anakwenda kuifanyia nini kampuni (why should we hire you) na akiulizwa ni kutumbua mimacho kama mwizi amekutwa store anadokoa mali.
4. Mwanamke wa kisasa anajitambulisha kama mwanamke wa hadhi na thamani ya juu sana above all ila sasa kaa nae chini muulize maswali ya msingi ujue kichwa chake kilivyo nazi. The same goes kwa graduate wana idea kwamba wao ni wa thamani sana kwasababu wanascore nzuri za vyeti, muulize sasa hadhi yako katika soko la ajira imelalia wapi, uone atakavyokutumbulia macho kama nguruwe.
5. Mabinti wa sasa hawapo tayari kwa majukumu yao ya msingi ya kike ambayo huitwa majukumu ya mke kama kutulia na mume, kutosaliti, kutii, kulea watoto, kufuata maamuzi ya mume, kuthamini pesa na muda wa mwanaume,etc ila wapo tayari kupokea benefits za mke kama kurithi mali, kutumiwa pesa, kushika pesa za mwanaume, kutoshare mwanaume, etc. Same kwa graduate hawapo tayari kujitoa kwanza na kuanzia chini na kampuni kufanya majukumu ya kampuni kuprove uwezo ila wapo tayari sana kupewa benefits za muwajiriwa za juu kama mshahara, marupurupu, usafiri etc bila kuzifanyia kazi.
6. Mabinti hutegemea external value kuaminisha wana internal quality. Binti atatia nguvu kuvaa vizuri, kupakaa make ups kushika simu ya bei, kuonyesha ana hang viwanja vya starehe vya bei ila ukweli ni kuwa tabia zero na hana hiyo thamani ya juu anayojiaminisha anayo same kwa graduates, atavaa suti au mavazi ya kicorporate makali, atafosi kupata uber sababu hana gari, atafosi kula sehemu za gharama but deep down ukimkagua hakuna thamani yoyote anayo maintain ni wa kawaida sana na anafosi life la standards ambazo hajafiki.
ina maana mkuu nisipande bolt na mvua inanyesha sababu mimi ni graduate?
Nishawahi kwenda interview nimelowana ilikua inanyesha mvua ile ambayo haikati inabidi nitoke mabibo to kinondoni, bahati interview ilihamishiwa posta tukafanya jioni.