Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Na kuna wale wasioridhika na mboga moja waenyewe mnawaita mboga sabaBujibuji kuna wanaotongoza kwakua mchumba yuko masomoni na anataka pa kujishikizia
Wengine wanatongoza kwakua mke mgonjwa au ana mimba kubwa/mtoto mchanga
Tunauliza ili tuijue nafasi mapema tujipange. Mkutudanganya tunaumia sana.
Next time uache kuulizia maswali ya kike.Hahahahahaha na sie wanaume mbona huwa tunawauliza "vipi una boyfriend"
Majibu yao sasa "nilikuwa nae ila tumeachana" hapo ndio shida inapoanzia kila mtu muongo
Next time uache kuulizia maswali ya kike.Hahahahahaha na sie wanaume mbona huwa tunawauliza "vipi una boyfriend"
Majibu yao sasa "nilikuwa nae ila tumeachana" hapo ndio shida inapoanzia kila mtu muongo
Next time uache kuulizia maswali ya kike.Hahahahahaha na sie wanaume mbona huwa tunawauliza "vipi una boyfriend"
Majibu yao sasa "nilikuwa nae ila tumeachana" hapo ndio shida inapoanzia kila mtu muongo
Next time uache kuulizia maswali ya kike.Hahahahahaha na sie wanaume mbona huwa tunawauliza "vipi una boyfriend"
Majibu yao sasa "nilikuwa nae ila tumeachana" hapo ndio shida inapoanzia kila mtu muongo
[emoji23] sa tungekuA na madem wengine si tungebaki nao.tusingetongozaWanawake akili zao bhana
Unamtongoza demu halafu ana kuuliza kama una demu mwingine
hivi uliona wapi mtu anaenda kununua nguo akiwa uchi
ππππππππππππWanawake akili zao bhana
Unamtongoza demu halafu ana kuuliza kama una demu mwingine
hivi uliona wapi mtu anaenda kununua nguo akiwa uchi
Kama umenitongoza halafu navutiwa na wewe hata kama Nina boyfriend ntasema Sinaaaa mambo mengine tutajua mbele ya safari bhanaHahahahahaha na sie wanaume mbona huwa tunawauliza "vipi una boyfriend"
Majibu yao sasa "nilikuwa nae ila tumeachana" hapo ndio shida inapoanzia kila mtu muongo
Vp Bi Dada limekupata nni_Duuh!