RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
1. Je, ni kweli kwamba wakati wa utawala wa MUAMMAR GADDAF wananchi wa LIBYA waliishi maisha yenye uafadhali?
2. KAMA NI KWELI: Je, ilikuwa ni muhimu kwa wananchi wa LIBYA kabla ya kumshambulia Rais wao walipaswa kuishi kwenye haya maneno yasemayo; "AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO?"
3. KAMA SI KWELI: Je, wenzetu mnaofuatilia habari za nje mnaweza kutwambia tofauti ya hali ya maisha ya wananchi wa LIBYA kabla na baada ya kifo cha MUAMMAR GADDAF?
NB: Hakika naupenda sana huu msemo usemao; "Akili za kuambiwa changanya na za kwako" -
Rafiki anaweza kukuchonganisha na Mwenza wako kisha mkaachana, halafu baadae unamkuta rafiki yako amejiweka kwa mtalaka wako.
Right Marker
Dar es salaam
2. KAMA NI KWELI: Je, ilikuwa ni muhimu kwa wananchi wa LIBYA kabla ya kumshambulia Rais wao walipaswa kuishi kwenye haya maneno yasemayo; "AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO?"
3. KAMA SI KWELI: Je, wenzetu mnaofuatilia habari za nje mnaweza kutwambia tofauti ya hali ya maisha ya wananchi wa LIBYA kabla na baada ya kifo cha MUAMMAR GADDAF?
NB: Hakika naupenda sana huu msemo usemao; "Akili za kuambiwa changanya na za kwako" -
Rafiki anaweza kukuchonganisha na Mwenza wako kisha mkaachana, halafu baadae unamkuta rafiki yako amejiweka kwa mtalaka wako.
Right Marker
Dar es salaam