"Akili za kuambiwa---", Hii ni kauli potofu

"Akili za kuambiwa---", Hii ni kauli potofu

Mokaze

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
14,370
Reaction score
14,929
Kuna kauli au msemo potofu iliyoota mizizi kwa miaka kadhaa isemayo; "Akili za kuambiwa changanya na zako".

Hivi toka lini mtu akaambiwa akili? Katika hali ya kawaida mtu huwa anaambiwa maneno au habari na sio Akili.

Nadhani msemo huo ungepasawa uwe hivi; Habari ya kuambiwa tumia akili yako. Au maneno ya kuambiwa chuja kwa akili yako.., au La kuambiwa tumia akili yako.
 
Hata hii ya kwako ni ^Akili za kuambiwa^ kwa hiyo tumechanganya na zetu, huwezi kutubabaisha as if unajua lolote. Wewe ni bure na nusu.
 
Back
Top Bottom