Akili za namna hii nilikuja kuzikuta huku Tanzania tu. Nilisikitika sana na kutokwa na machozi

Hahahah
You never disappoint me bro
Japo isn't real Story
 
Nmekuelewa. Ila kwa siku ile ilitokea issue flani na zile pesa ilibidi niwe nazo kwa ajili ya issue flani hivi. Hazikuwa nyingi.sema ni kweli kwa maskini wanaweza kumdhuru mtu hata kwa mil 10 tu. Sitokuwa nikifanya hivyo.

 
Hahahaha
"Maskini anaishi mara moja na kufa several times"
BILLMAN!.
 
Behind this ID, there's an inteligent person who is good at storytelling...

Jaribu kufanya standup comedy, utatusua...mwandiko na namna yako ya kufikiri inafanana sana na Zero IQ
Mi nahisi Kama seneta wa mtwiz kurudi kivingine all in all jamaa anaujumbe anaufikisha japo wachache wanaumia na majigambo yake Binafs napenda uandish wake Kwan una elimu ndani yake
 


Vipi gari lako lilipona
 

Amelipeleka TOYOTA HQ Japan.
 
Dah! mkuu, inamaanisha ile issue ya sikuile kumshika yule muhudumu makalio ulimind sana?, BTW siku ile sikuwa na 600k ilikuwa ni 6 Million

cc: uswege
 
Huwa sisomagi sana nyuzi zako ila napendaga sana content,context na approach yako katika kufikisha ujumbe.Kwanza una ji expound wewe mwenyewe kisha unamvalisha msomaji wako uhusika kisha unaibua hoja ndogo ndogo nyingi ambazo nifikirishi na mwisho unaweka ujumbe wako wazi kabisa huku ukihakikisha suspense unayotengeneza unaiondoa kabla ya kubofya Publish.Regardless of who you are behind the keyboard.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…