Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
ππππππππJana nilienda hotelini.. ila nikakuta Meza zote zimejaa watu.. so nikaona isiwe Shida..
nikatoa simu yangu kisha nikaweka sikioni halafu nikasema..
Oya jamaa! Eeh njoo hapa nimemuona wife wako yupo na lijamaa hapa"..saivi naona watu wanaondoka wawili wawili...
itakuwa walikerwa na uongeaji wangu wa simu kwa nguvuu...
Labda itakuwa kweli mkuuHawakutaka kumuona huyo jamaa wako labda.
na kama hawajamaliza haja zao kwann wasisubiri??Sasa kama wamemaliza haja zao waendelee kusubiri nini?
Jana nilienda hotelini.. ila nikakuta Meza zote zimejaa watu.. so nikaona isiwe Shida..
nikatoa simu yangu kisha nikaweka sikioni halafu nikasema..
Oya jamaa! Eeh njoo hapa nimemuona wife wako yupo na lijamaa hapa"..saivi naona watu wanaondoka wawili wawili...
itakuwa walikerwa na uongeaji wangu wa simu kwa nguvuu...