AKILIYANGU NAIJUA MWENYEWE

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
*Nimelala nkaota naendesha New Mercedez Benz [emoji593] S-Class 2016...*[emoji593]
*Sasa nmeamka nimesahau nimelipaki wapi......*
*Hapa najiandaa naenda Ku-report police nmeibiwa gari*
*SIIBIWI KIZEMBE MIMI*

Akili yangu naijua mwenyewe
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Aisee kuna dawa ya panya ukinywa itakufikisha zilipo pakiwa G wagon 6*6
na ile Maybach ya 2018

Jaribu hutojutia achana na S class
 
gar yako nmeiona magogoni kwa mwenye nchi
 
Utakua bado umelala na unaendelea kuota,lakini kumbuka wakati wewe unaota wenzako wanayaendesha kiuhalisia na sio kuota tu! Chase ur dream and turn it to reality kwa kufanya kazi kwa juhudi na maarifa na kua na malengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…